Hahaha...Mimi kuna moja hivi Braza alitafutia kazi na Scholarship ya PhD lakini alichokuja kufanywa, teh teh teh teh!
Nidyo maana mimi kama namsaidia mwanamke huwa namsaidia bure tu kwasababu nimeamua, lakini nje ya hapo huwa sitegemei sanaaaa kutoka kwao. Its a racket, kufanya betting ya maisha na mwanamke...
Hahaha...
Aisee, watu kumbe wanalambishwa mchanga.
Hicho kimbunga kibaya sana.
Kweli,, Kama umeamua kumsaidia msaidie tu,, kwa maana ukitegemea vinginevyo unaweza laani kabisa uzao wote..Mimi kuna moja hivi Braza alitafutia kazi na Scholarship ya PhD lakini alichokuja kufanywa, teh teh teh teh!
Nidyo maana mimi kama namsaidia mwanamke huwa namsaidia bure tu kwasababu nimeamua, lakini nje ya hapo huwa sitegemei sanaaaa kutoka kwao. Its a racket, kufanya betting ya maisha na mwanamke...
Na maisha yana ups and downs, hata ukiolewa na bilionea possibly kuna siku maisha yatashake kidogo, sasa ukiwa slay queen, hicho kipindi cha mpito kitapita salama? Usije ukamuua kwa presha mumeo kwa kutaka aendelee kukuhudumia as it was before, au utakimbia nyumba? au utatafuta sponsors ili uendelee kumaintain status?.
Siku hizi hata kabla sijamsaidia binti napima kwanza akili yake imekaaje, nikiona ndiyo walewale wala sipotezi muda.Kweli,, Kama umeamua kumsaidia msaidie tu,, kwa maana ukitegemea vinginevyo unaweza laani kabisa uzao wote..
unafaaHave ma" like babe-girlunajua nini umesema maneno maziiito mno mwenye kusikia na asikie,.japo KUPANGA NI KUCHAGUA hatuingiliani lifestyles lakini penye ukweli lazima tukumbushane...
Wadada tupunguze luxuries tofauti na vipato vyetu,.tuwe na kiasi na kuridhika..tukipata wenzetu hebu tupeane support sio kisa ni mbebe wako basi ndio akome kila dhiki unambebesha kaka wa watu looh tena ujue kwao wana japo mbuzi wa maziwa basi hali akashiba.,.ndio maana wengine miti mikavu hawanenepagi kwa kufyonzwa....tujue kufanya kazi zetu na kusave pia kwa ajili ya baadae,.kumtegemea mtu sana kwanza dhambi...
Yeremia 17:5-8 ukisoma utaona mtu anaye mtegemea mwanadamu anakuwaje...
Mungu akatubariki sawasawa na utajiri wake,kusukwa-sukwa hata kumwagika...!!!!
Tunaishi kulingana na uhalisia, wapo wanaume wanaohangaika sana na juhudi zao unaziona kabisa ila hawajafanikiwa kihiivyo. Hivyo mkiunganisha nguvu angalau mnafikia pazuri.Unayosema ni sawa katika hali ya sasa mwanamke usiposimama mwenyewe kujihudumia na kujiwekea akiba utakwama kwa mengi. lakini haya yote ni kwasababu ya wanaume kusahau majukumu yao, pesa ya mwanamke sio ya kupigia mahesabu eti ndo iendeshe familia, ninaweza kuchangia lakini sio lazima. wanaume watakazia kwasababu ni wakwepa majukumu.
Hahaaa!!Katika ukumbusho ulio bora na huu ni mmoja wapo jamaani.
Aunt Heaven Sent nilikuwa nasoma lile gazeti lako la kwanza kabisa post no #21 yaani nimejikuta linanisuuza hali iliyosababisha nimelisoma mara tatu tatu na bado hapa natamani nikalirudie kulisoma. Lol
ubarikiwe jamaani.
Ila ndio mpunguzage kutoonekana we na Da espy humu kwani tunavikosa vingi kutoka kwenu , kwani siku zote hawakukosea waliosema utu uzima Dawa..
Kupeleka mtu shule ni project..Hahahaaa!!! Ndio ushaanza masimango jamani!!
Hahahaa!
Hahahaaaa!! Wenye akili huwa wanaunusa utajiri miles away, yaani hauna hata godoro ila anauona utajiri wako ujao. Atakuganda unashangaa "why ananipenda hivi". Hivyo hao wachache wasiwakatishe tamaa jamani.Poleni sana mkuu.
Dogo afanye mpango wa demu mwingine tuu maisha yaendelee ..hawa watu ndio shukrani zao hizi.
Cc Heaven Sent & espy