Free talk: Mwanamke shtuka!

Ndo aina ya wanawake mnaowataka lakini, anakaa tu home anadaka kwako. Ndo wazuri hao, hata unyanyase vipi atajivumilisha tu
Hamna bhana, wapo wanaofanya kazi lakini bado kwenye majukumu anakutwisha yote, akijitahidi anaweza tu kujigharamia saluni na kuvaa mwenyewe basi, ila napo mwanaume usipokuwa ngangari bado na hayo utatwishwa. Hapo bado sijagusia kumuwekea mafuta kwenye gari plus matengenezo yake, khaaa nyie viumbe nyiee loh!!
 
Sasa brod tuseme tangu mnadate hukugundua kuwa baby ako ni slay queen? Hawajifichagi ujue wanaomaintain status zao
 


Clap!, Clap!
 
Kusomesha kwa ajili ya kitobo ni hatari sana.
 


Wewe mdada una akili sana, wanawake wenye mawazo kama haya hawazidi hata 0.5%. wenyewe wanawekeza ktk vitu ambavyo si assets( Income generating investments), badala yake wanawekeza ktk liabilities.
Bravo. Nimekupenda bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…