Free talk: Mwanamke shtuka!

Shikamoo baby shem[emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Mwanamke ununue kiwanja ni mwanaume gani huyo ambaye hana akili sawa sawa atajenga hapo......labda kununua fenicha za ndani na vikolokolo......nyumba hujengwa na mwanaume ili mkewe aje kuingia na kuisimamia hatimaye kuimiliki....
 
hapa naona kuna mada mbili tofauti
1.matarajio ya wanawake kwa wanaume wa kuwaoa"kabla hawajavurugwa na dunia according to mtoa mada"(fantasy vs reality)
2.wanawake kujikwamua kiuchumi kabla na baada ya kuolewa
Ila naona hapa wengi wao wamebase kwenye hiyo ya pili, ya kwanza wameiacha sijui kwanini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…