Free talk: Mwanamke shtuka!

Unasema nyumba tu...mwingine anasema unanipangia watoto wangu wasome shule gani?...
Wanasahau kila kitu ni vya kwenu wote....
Acha tujijenge tuwe na vyetu na sisi tupate nafasi ya kushiriki maamuzi ya kifamilia...sio kuwa mtekelezaji tu
Badala mkae mjadiliane wewe unapewa comand tu mweeh!!
 
Unamtumia sms, "wahi kurudi nyumbani leo uhakikishe watoto wameoga mapema,wamefanya home work na wale na kulala mapema, mie nipo sehemu na friends tunapata moja moto moja baridi"
Wanaume wa namna hiyo Mungu awatie nguvu, nafikiri siwezi
 
Unamtumia sms, "wahi kurudi nyumbani leo uhakikishe watoto wameoga mapema,wamefanya home work na wale na kulala mapema, mie nipo sehemu na friends tunapata moja moto moja baridi"
Kabisa....maana na wewe mke lazima ukutane na marafiki kutengeneza madili ya kuingiza pesa
 
Umesema vyema.
 
Hahahaaaaa!! Kwahiyo wewe hautaki 50/50 my kaka?
Kimsingi mimi ni miongoni mwa wanaume wanaojali sana hasa kwa jambo lililo ndani ya uwezo wangu..care&love lkn ninaamini zaidi ktk kuwa mimi ndiye kichwa kwa kila kila kitu kama mwanaume.
Namudu majukumu yangu yote tena kwa bidii.
Lkn siamini ktk 50/50 isipokuwa ktk mgawanyo wa majukumu ktk familia.
Nitakuruhusu ujumuike na wenzio, biashara but kuwe na mipaka.
Urudi nyumbani kabla kiza/giza.
Home ndiko ofisi yako kuu, watoto wakae vizuri, uwaandalie chakula mapema na ninapofika unihudumie wew na sio house gel
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…