Badala mkae mjadiliane wewe unapewa comand tu mweeh!!Unasema nyumba tu...mwingine anasema unanipangia watoto wangu wasome shule gani?...
Wanasahau kila kitu ni vya kwenu wote....
Acha tujijenge tuwe na vyetu na sisi tupate nafasi ya kushiriki maamuzi ya kifamilia...sio kuwa mtekelezaji tu
Wanaume wa namna hiyo Mungu awatie nguvu, nafikiri siweziUnamtumia sms, "wahi kurudi nyumbani leo uhakikishe watoto wameoga mapema,wamefanya home work na wale na kulala mapema, mie nipo sehemu na friends tunapata moja moto moja baridi"
Kabisa....maana na wewe mke lazima ukutane na marafiki kutengeneza madili ya kuingiza pesaUnamtumia sms, "wahi kurudi nyumbani leo uhakikishe watoto wameoga mapema,wamefanya home work na wale na kulala mapema, mie nipo sehemu na friends tunapata moja moto moja baridi"
Siamini masikio yangu....nahisi mnamsingizia shoga yangu Carba!Tena mimi ndio niliwafumania.
FisadiKuu huwa anasema madili ya pesa yanapatikana bar, sijui yuko wapi!!Kabisa....maana na wewe mke lazima ukutane na marafiki kutengeneza madili ya kuingiza pesa
Eti Mimi(mume) nishaamua itakuwa hivyo.....eeehh Mola saidia sisi wanawakeBadala mkae mjadiliane wewe unapewa comand tu mweeh!!
Lila kitu kina mwanzo...ukijaribu waweza kujikuta unawezaWanaume wa namna hiyo Mungu awatie nguvu, nafikiri siwezi
Tunanyanyua miguu juu kama paka, tunapata madiliFisadiKuu huwa anasema madili ya pesa yanapatikana bar, sijui yuko wapi!!
Na sie tukae bar tupate hayo madili kwakweli.
Cc Heaven Sent
Umesema vyema.Umenena vyema Espy, kwa kweli ni wanawake wachache sana kwasasa wanaofikiria maendeleo kwa jitihada zao wenyewe pasipo kuwepo mkono wa mwanaume.
Unakuta dada kaajiriwa (binafsi/serikali) na ana muda hata wa zaidi ya miaka mitatu kazini lakini hana lolote alilowekeza zaidi ya kuhangaika na fashion kila siku... Wengi hatukumbuki kuwa nafasi na muda tulionao sasa baadaye tunaweza tusiupate, nyakati zinabadilika uchumi nao unakuwa sio rafiki.. Siku utakayoingiwa na akili ya kufanya kitu angalau kikaonekana cha manufaa kwako na kwa yeyote ajaye (mume/watoto) ndo utakapo ng'amua kuwa huna tena uwezo wa kufanya hivyo na ndipo itabaki tu simulizi kuwa yule dada enzi zake alikuwa yuko vizuri kiuchumi...Muda huo akili unayo lakini huna vitendea kazi.
Mambo mengine tuwe tunayaacha yanatupita, si lazima kuyumbishwa na dunia, kushoto upo, huku upo , kule upo yaani kila kinachokuja umo....
Tujaribu pia kuangalia na aina ya marafiki wa kuambatana nao, wao kila siku wazungumzia fashion mpya tu na kutambiana madanga, wafikiri lini utapata wazo la kusema uinvest kwenye kitu cha maana???
Nimewahi kuwa na rafiki, alinizidi kwa umri (miaka 6) lakini sioni alichokuwa akinifaidisha zaidi ya kunipa stori tu za kupelekana maduka ya mikoba + nguo + viatu + stori za madanga aliyonayo...
Nikimshauri mawazo mazuri utasikia maisha yenyewe hayaeleweki, tutumie....Nikaona hili BOX halinifai...
*Kama una uwezo na nafasi ya kufanya kitu fanya, huyo mume endapo utajaaliwa aje akute angalau una pa kuegemea...Mkiunganisha nguvu pamoja angalau mnakuwa mmejisogeza sogeza....
Kimsingi mimi ni miongoni mwa wanaume wanaojali sana hasa kwa jambo lililo ndani ya uwezo wangu..care&love lkn ninaamini zaidi ktk kuwa mimi ndiye kichwa kwa kila kila kitu kama mwanaume.Hahahaaaaa!! Kwahiyo wewe hautaki 50/50 my kaka?
Hiyo life haikufai wewe nakufahamu dadangu kipenziTunanyanyua miguu juu kama paka, tunapata madili
Kakangu ntafanyaje sasa na huku madili yanapatikana barHiyo life haikufai wewe nakufahamu dadangu kipenzi
Madili yetu anayo Jehova JireKakangu ntafanyaje sasa na huku madili yanapatikana bar
AmenEeeeh ahsante