Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,388
- Thread starter
- #461
Ni kweli kabisa mkuu hata mimi najaribu kuvitumia kwa uoga sana. Hizi vitu yafaa uwe na pc mbili. Moja iwe na Genuine Windows na softwares za trusted publishers ambazo haziko cracked
na hiyo ya pili ndiyo iwe na hizo vitu.
Ukuelewa point ya Chief Mkwawa anachodai usitumie hizi net for bussiness e.g internet cafe
Lakini kwa matumizi ya kawaida au ya mtu binafsi wala haina shida na wala haiusiani na computer kuwa genuine au kutokuwa genuine