Are u sure u r the true son of ur father?
Kidding of course.
So here is the reason of hope:-
Kama vile si wanaume wote ni mabazazi hivyo hivyo si wanawake wote ni malaghai. Wewe ukiacha ubazazi utamsababishia at least mwanamke mmoja asiwe laghai. So nikiamua kuacha, God knows kati ya married men say 12 walionotongoza Mwaka huu at one or two walikuwa wananitaka mimi as Kaunga na sio sex tu, hivyo nitakuwa nimewakwepesha na uzinifu.
Same thing to you, usipowatongoza utawaokoa!
hahah...12 wacha bwana inaelekea unatamanisha lol. wacha bwana mie niendelee kutiwaamini wanawake...am safer that way.