Chama sasahivi kinamilikiwa na mtukwanini msiache kura za maoni ziamue ?
Chama sasahivi kinamilikiwa na mtukwanini msiache kura za maoni ziamue ?
Aisee kweli mwenye nacho anaongezewa.Watoto wa kajamba nani kazi yetu kuwapigia kura
Kalanga kazi anayo
Akalime karanga zinalipaYule karanga aliyeunga juhudi itakuwaje sasa
Huu ni ujinga wa watanzania walio wengi. Wanaacha ccm inagawa ubunge kwa familia. Kule Zanzibar wamefanya hivyo kwa mtoto wa mzee ruksa.huu ni usulutan sasa, mahela yote hayo bado anataka tu, imefika wakat na masikin wafaid keki ya taifa! nifedhea kufanya jimbo mali yafamilia, masai shitukeni.
Hata wakimpiga chini kuna masanduku yana kura zake tayariKweli kabisa wananchi wa monduli mpigeni chini uyo Lowassa.
Yaani wanaona hii nchi za kwao wao tu ndio wenye haki ya kila kituHata wakimpiga chini kuna masanduku yana kura zake tayari
Ooh. What?Hata wakimpiga chini kuna masanduku yana kura zake tayari
Aiseeee !!Hata wakimpiga chini kuna masanduku yana kura zake tayari
Yule Mataga sijui anaitwa Makande ,samahani anaitwa Karanga ,sijui ataficha wapi kichwa chake.Kumekucha anaenda kurithi kiti cha mzee wake
Hebu jiunge Mara moja na Chadema kwa njia ya kisasa kama unajiunga na Republican au Conservative Kyle majuu!Chadema hoi bin taaban.