Fraudster Alert

jichola3

Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
25
Reaction score
4
Wakuu, chukueni tahadhari na mtu anayejitambulisha kama Mr. William Mbeya kwenye masuala ya ajira yani "job adverts". Anajifanya kama HR wa BancABC na ana-post kazi kwenye tovuti kama ZoomTanzania nk. Anatumia email hizi: williammbeya45@yahoo.com na hrbancabc@gmail.com

Mshenzi mwingine anaitwa Samuel Millinga na kazi zake ni kuuza vifaa vya simu. Anawatapeli watu wamtumie hela kwenye simu ahlafu hakutumii mzigo. Namba zake ni 0688 111 185, 0759 111 185 na 0655 191 182. Nilipewa namba yake na watu wa Halotel akanizika.
 
duuh,jamaa unaibiwa wewe tu...lazima una kaushamba flani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…