Uchaguzi 2020 Frank Mwakajoka arejesha fomu ya kuomba uteuzi wa kugombea Ubunge jimbo la Tunduma

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,788
218,420
Habari kamili hii hapa



Frank George Mwakajoka ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CHADEMA. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Tunduma kwa miaka mitano ( 2015 – 2020.) Alipata elimu yake ya msingi katika shule ya msingi Milanzi kuanzia mwaka 1981-1988.
 
shukrani mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…