Uchaguzi 2020 Frank Mwakajoka arejesha fomu ya kuomba uteuzi wa kugombea Ubunge jimbo la Tunduma

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
116,496
215,348
Habari kamili hii hapa



Subpost 1 - Mwakajoka Arudisha Fomu ( 800 X 640 ).jpg
Frank George Mwakajoka ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CHADEMA. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Tunduma kwa miaka mitano ( 2015 – 2020.) Alipata elimu yake ya msingi katika shule ya msingi Milanzi kuanzia mwaka 1981-1988.
 
Julai 2020
Tunduma, Tanzania

Live toka Ofisi ya Jimbo Tunduma Songwe

MWAKAJOKA Arudisha Fomu Avunja Rekodi ktk kuhakikisha miradi inatekelezwa "CCM, Hiki ni Kipingo cha Pili
WanaTunduma na chama cha CHADEMA wana uhakika kuibuka na ushindi wa kiti cha Ubunge na kata zote 15 Tunduma kwenda CHADEMA 2020



Source : Jay Tv

shukrani mkuu
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom