Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Anyway. Kwenye suala la DP World alikuwa na msimamo gani?
Fursa tayarSalaam,
Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani Mbeya kupitia tiketi ya chama cha CCM, ndungu Francis Leonard Mtega amefariki dunia leo.
Update zote kuhusu maziko, ugonjwa na msiba nitaleta hapa..
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Innalillah wainna ilayhi rajiuun.
===
View attachment 2675227
Kupitia ukurasa wa WhatsApp wa M/kiti UVCCM Wilaya Mbarali, Medson Mwambapa (Sweetbert); Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega amefariki kwa ajali ya Pikipiki aliyokuwa anaiendesha akitokea shambani kwake kugongana na trekta.
2 - 1Salaam,
Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani Mbeya kupitia tiketi ya chama cha CCM, ndungu Francis Leonard Mtega amefariki dunia leo.
Update zote kuhusu maziko, ugonjwa na msiba nitaleta hapa..
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Innalillah wainna ilayhi rajiuun.
===
View attachment 2675227
Kupitia ukurasa wa WhatsApp wa M/kiti UVCCM Wilaya Mbarali, Medson Mwambapa (Sweetbert); Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega amefariki kwa ajali ya Pikipiki aliyokuwa anaiendesha akitokea shambani kwake kugongana na trekta.
Ndo nini mkuu? au yale mafuta na maji?Unabidi Kupata therapy kwa therapist
DP World ni jini... litatumaliza sote tulikemee lipotelee mbali.Salaam,
Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani Mbeya kupitia tiketi ya chama cha CCM, ndungu Francis Leonard Mtega amefariki dunia leo.
Update zote kuhusu maziko, ugonjwa na msiba nitaleta hapa..
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Innalillah wainna ilayhi rajiuun.
===
View attachment 2675227
Kupitia ukurasa wa WhatsApp wa M/kiti UVCCM Wilaya Mbarali, Medson Mwambapa (Sweetbert); Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega amefariki kwa ajali ya Pikipiki aliyokuwa anaiendesha akitokea shambani kwake kugongana na trekta.
TibaNdo nini mkuu? au yale mafuta na maji?
Hii pole imetoka moyoni? Au unafunika kombe mwanaharamu asilionePole kwa Wafiwa
Ugonjwa gani tena kama amekufa kwa ajali? Apumzike kwa amani. Poleni wanafamilia na jimboSalaam,
Mbunge wa jimbo la Mbarali mkoani Mbeya kupitia tiketi ya chama cha CCM, ndungu Francis Leonard Mtega amefariki dunia leo.
Update zote kuhusu maziko, ugonjwa na msiba nitaleta hapa..
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Innalillah wainna ilayhi rajiuun.
===
View attachment 2675227
Kupitia ukurasa wa WhatsApp wa M/kiti UVCCM Wilaya Mbarali, Medson Mwambapa (Sweetbert); Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega amefariki kwa ajali ya Pikipiki aliyokuwa anaiendesha akitokea shambani kwake kugongana na trekta.