Frame kubwa kariakoo.

Frame kubwa kariakoo.

0909Hekima

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2013
Posts
226
Reaction score
66
Napangisha frame ipo kariakoo, mtaa wa kariakoo na sikukuu. Ni kubwa na mpya. Ni centre ya biashara, kwa mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa namba 0783181838
 
Napangisha frame ipo kariakoo, mtaa wa kariakoo na sikukuu. Ni kubwa na mpya. Ni centre ya biashara, kwa mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa namba 0783181838

Mkuu, tafadhali nijulishe mtaa iliyopo, ukubwa wake sqm ngapi? na pango linaanzia ngapi. Inbox hizo details kisha nijue kama tunaweza kufanya biashara.
 
Mkuu, tafadhali nijulishe mtaa iliyopo, ukubwa wake sqm ngapi? na pango linaanzia ngapi. Inbox hizo details kisha nijue kama tunaweza kufanya biashara.

Ipo mtaa kariakoo na sikukuu. Info nyingine naku PM mkuu.
 
Bei plz,picha nayo
"Vox popoli vox dei"

kaka nimekosa facilities za kupigia picha kwa uzuri ila kama una muda twaweza kukutana ukapaone ili kuridhika na mahitajio yako, kwa ukubwa waweza fanya ikawa hata go down.
 
wewe toa details za kutosha, bei, ukubwa n.k.
 
Napangisha frame ipo kariakoo, mtaa wa kariakoo na sikukuu. Ni kubwa na mpya. Ni centre ya biashara, kwa mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa namba 0783181838

Kweli biashara imekata, frame za k'koo zinatangazwa?
 
Imefika sehemu inatangazwa duh! Afu mbona sijaelewa kariakoo na sikukuu ndo mtaa gani mkuu

mtaa k.koo na skukuu. Yote mitaa hiyo, na pia natangaza koz ni mpya hizo frame na pia gorifa ndio limeisha... kaka hiyo mitaa ni maarufu sana kama unaifahamu shule ya msingi mnazi mmoja. au unapafahamu makao makuu ya CCM basi huwe potea hata. kidogo.
 
Kweli biashara imekata, frame za k'koo zinatangazwa?

ni sehemu mpya na pia naitangaza koz sina uzoefu na utafutaji wa haya mambo na sitaki udalali kama upo tayar unakaribishwa, kama haupo watapatikana watu tu mkuu. Naamin ni mwanzo tu ila nikishaelewa kila kitu kitakaa ktk mstari wake. Na. apartment pia zinapatikana na sijaona ubaya wa kutangaza humu kwa jf ni mtandao huria kaka as long as it is legal then I am free to advert anything.
 
Hebu mtu ampigie afu aje atuambie humu ni sh ngapi kamwambia. Hizo biashara za kizamani sana za kufichaficha bei. Aaaaaggrrr........
 
Kuna frame za 3.5x2.5 sqm ni laki nne na ipo nyingine 2 in one ambayo ni mara mbili ya hiyo niliyoitaja hapo juu. Hiyo bei yake ni milioni 1 maana ipo mbele ya jengo, kwa mwenye kuhitaji tuwasiliane. Nashukuru.
 
Back
Top Bottom