Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,449
- 10,761
Team Jiwe kazini !Hahahaaa!
Naye anaenda kuoza na kuliwa na funza!!
Kumbe na wao huwa wanakufa.
Comment ya hovyo kabisa hiiHahahaaa!
Naye anaenda kuoza na kuliwa na funza!!
Kumbe na wao huwa wanakufa.
Ulikuwa unawaza nini kuandika haya Nyani??Hahahaaa!
Naye anaenda kuoza na kuliwa na funza!!
Kumbe na wao huwa wanakufa.
Kumbe nanyi huwa mnakufa ππComment ya hovyo kabisa hii
Nilikuwa nawaza kuwa kumbe hata wao nao huwa wanakufa na kuoza na kuwa mlo wa funza!Ulikuwa unawaza nini kuandika haya Nyani??
Any ways, RIP father ππ
Baba Privatus #Karugendo amefariki dunia usiku huu.
#RIPFrKarugendo
Baadhi ya maandishi yake kwenye mitandao ya kijamii.
14/6/2021
βKutafakari na kuhoji ni dalili Za uhai. Maiti haiwezi kutafakari wala kuhoji! Twaweza kuamua kuishi kama maiti au viumbe hai wenye uwezo wa kuutiisha ulimwengu na kujiletea maendeleo! Maendeleo uletwa na watu hai, si maitiβ.
18/3/2021
βMama Samia, pole sana kwa msiba huu mkubwa. Wengi tulikufahamu na kukupenda wakati wa Bunge la katiba. Simamia katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, uzalendo, umoja na mshikamano. Tanzania ni yetu soteβ.
19/11/2020
βHawa wanawake 19 wa Chadema, ninawafahamu vizuri, ninawaheshimu saaaana kwa msimamo wao na uaminifu mkubwa kwa chama chao na taifa lao. Ni kitu gani kimewapata?. Fedha? Hapana! Ubunge? Hapana! Hawa ni wapambanaji, watiifu na wazalendo! Wamejikwaa wapi? Halima! Niambie!β.
19/9/2020
βMama Samia, ana sifa nyingi, mbali na upole, huruma, umakini na busara hana siasa za chuki na ushabiki, anaiangalia Tanzania, kwa ujumla wake, ni mzalendo wa kweli! Tujifunze kwake! Tanzania ni yetu sote!β.
Ofcoz wataanza kumla wakimalizana na dikteta uchwaraKumbe nanyi huwa mnakufa ππ
Lini funza wataanza kumla huyu? Kesho?
Huyu padri wenu yuko wapi sasa hivi? Kwenye li friji au li friza?Ofcoz wataanza kumla wakimalizana na dikteta uchwara
Yupo kwenye mtacq yakoHuyu padri wenu yuko wapi sasa hivi? Kwenye li friji au li friza?
Nyumbu mbona unatoa povu? Mwenzio keshaanza kutoa funza ππYupo kwenye mtacq yako
Umewaza mbali Sana Ngabu, kuna mahali mlipishana kwenye kufikiri??Nilikuwa nawaza kuwa kumbe hata wao nao huwa wanakufa na kuoza na kuwa mlo wa funza!
He is dead π€£π€£π€£.
Funza wanaenda kufaidi huko udongoni.