Wakati mwingine sisi Watanzania ni wapuuzi. JPM aliamua kuhakikisha anarudisha hela zilizokuwa zimechukuliwa na mafisadi na kuacha wanyonge wabaki na kidogo walichonacho. Miradi ikaenda kwa spidi ila Watu wakamlalamikia na kumuita majina ya ajabu. Sasa Samia kaingia na gia ya kutowabughudhi mafisadi, watu wakamshangilia, imagine!!!! Leo hii hakuna hela ya kuendesha serikali, akaona wanyonge wajipapase; kilio kama chote. JPM bwana, Mwenyezi Mungu amrehemu huko alipo. Inauma