Fozhou China, Mkutano mkuu wa 44 wa UNESCO July 16-31: Utetetezi wetu Watanzania juu ya ujenzi wa bwawa la kufua umeme la Mwalimu Nyerere

Mkuu wangu ,Mradi huo UTAENDELEA.....

Miradi yote aliyoanzisha El comandante hayati kipenzi JPM itamalizika.....

Komredi tumpe nguvu mh.Rais wetu....
Hakuna mtu simuamini kama JK. Hivi unajua ufisadi katika madini aliuanza yeye akiwa Waziri wa Nishati na Madini? Nchi hii ilisogea kwa vile JPM alimkandamiza JK ingawa baadaye......
 
Kajipange upya!! Unyang'anyi uliofanywa na Magufuli kwa raslimali za watu binafsi siyo kitu chema. Ni wizi na unyama.

Wacha tusue sue kujenga miradi lakini UNYANG'ANYI hapana
 
Mbona michadema haipatikani katika hili

 
Thanks
 
Ukubwa wa selous ni km za mraba 54,600, kwa hiyo sehemu iliyotumika ni Kama km za mraba 1600 ni sehemu ndogo Sana naamin wakienda na utetezi imara watashinda lazima...
Sawa mkuu....

Nami nitendee haki, katika hizo hekari 1000 unazosema ,Selous imebakiwa na hekari kiasi gani ?!
 
Ukubwa wa selous ni km za mraba 54,600, kwa hiyo sehemu iliyotumika ni Kama km za mraba 1600 ni sehemu ndogo Sana naamin wakienda na utetezi imara watashinda lazima...

..hoja yako ni sawa na kusema ubongo/moyo ni sehemu ndogo ya mwili wa binadamu hivyo unaweza kuuchezea-chezea vile unavyotaka na hautapata madhara.

..tuwe wakweli kuhusu athari na changamoto za kimazingira zitakazotokea na tujipange jinsi ya kuzitatua.
 
Ukubwa wa selous ni km za mraba 54,600, kwa hiyo sehemu iliyotumika ni Kama km za mraba 1600 ni sehemu ndogo Sana naamin wakienda na utetezi imara watashinda lazima...
Naam dokta....

Tumeshinda kaka....

Utetezi wetu umekubaliwa....

Kongole kwa viongozi wetu wa Serikali sikivu πŸ‘ŠπŸ‘πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ’ͺπŸ’ͺ

#KaziIendelee
#SiempreJMT
#NchiKwanza
 
😲😲
Utetezi wetu umekubaliwa.....

Siempre JMT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…