Forums mpya kwa ajili ya discussions za kitaaluma na kijamii

Forums mpya kwa ajili ya discussions za kitaaluma na kijamii

Firewall

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2012
Posts
272
Reaction score
61
Habari JF,
Kwa wanafunzi, wakufunzi, wanataaluma na wapenda knowledge wote.
Mtandao mpya TaalumaForums | Fikra huru - Home (Academic and social discussions) umeanzishwa.

TaalumaForums ni mkusanyiko wa majukwaa mbalimbali ya kitaaluma na yasio ya kitaaluma. Forums hizi zina lengo la kuwakutanisha watu kifikra na kimtazamo kulingana na wanachofahamu. Kuna majukwaa (forums) Zaidi ya 15 katika nyanja tofauti tofauti za kielimu na za kijamii. TaalumaForums inalenga wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu, wakufunzi (teachers & lecturers), wanataaluma wengine, wapenda knowledge kwa ujumla pamoja na watu wa rika zote. TaalumaForums itahusisha majadiliano mbalimbali yenye lengo la kuelimishana. Mbali na hayo kuna majukwaa mengine kwa ajili ya habari na matukio katika taasisi za elimu na kwenye jamii kwa ujumla. Peruzi au jisajili na waweza toa maoni yako kwenye uzi huu au jukwaani TaalumaForums | Fikra huru - View forum - Wasiliana nasi - Live chat

Lengo ni kua na Tanzania yenye watu wanaoweza kujitegemea kifikra, hasa vijana katika mtazamo wa kielimu na kijamii ili kutatua changamoto zinazowakabili.​
Mawazo yako muhimu, Karibu​

TaalumaForums | Fikra huru.​
 
Nashukuru kwa taarifa!

Hiyo ni Forum dada wa JF au? Itakuwa inahusika na mijadala kadhaa tu kama ya kitaaluma kama ulivyosema hapo juu au ni kila kitu kama JF?
 
Nashukuru kwa taarifa!

Hiyo ni Forum dada wa JF au? Itakuwa inahusika na mijadala kadhaa tu kama ya kitaaluma kama ulivyosema hapo juu au ni kila kitu kama JF?
Sio kila kitu mkuu, ni ya kitaaluma na baadhi yanahusiana kwa namna moja au nyingine na mambo ya kitaaluma
Karibu
 
Clarification..?!! :dizzy::dizzy::dizzy:

pakua hapa mkuu
nadhani mkuu alilenga maana hii...
a short sacred cow refer to an idea, custom, or institution held to be above criticism.
nadhani hapo mkuu Firewall tuko pamoko.
 
Last edited by a moderator:
Habari JF,
Kwa wanafunzi, wakufunzi, wanataaluma na wapenda knowledge wote.
Mtandao mpya TaalumaForums | Fikra huru - Home (Academic and social discussions) umeanzishwa.

TaalumaForums ni mkusanyiko wa majukwaa mbalimbali ya kitaaluma na yasio ya kitaaluma. Forums hizi zina lengo la kuwakutanisha watu kifikra na kimtazamo kulingana na wanachofahamu. Kuna majukwaa (forums) Zaidi ya 15 katika nyanja tofauti tofauti za kielimu na za kijamii. TaalumaForums inalenga wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu, wakufunzi (teachers & lecturers), wanataaluma wengine, wapenda knowledge kwa ujumla pamoja na watu wa rika zote. TaalumaForums itahusisha majadiliano mbalimbali yenye lengo la kuelimishana. Mbali na hayo kuna majukwaa mengine kwa ajili ya habari na matukio katika taasisi za elimu na kwenye jamii kwa ujumla. Peruzi au jisajili na waweza toa maoni yako kwenye uzi huu au jukwaani TaalumaForums | Fikra huru - View forum - Wasiliana nasi - Live chat

Lengo ni kua na Tanzania yenye watu wanaoweza kujitegemea kifikra, hasa vijana katika mtazamo wa kielimu na kijamii ili kutatua changamoto zinazowakabili.​
Mawazo yako muhimu, Karibu​

TaalumaForums | Fikra huru.​

Ukisema "hasa vijana" ina maana sisi wazee mshatuona ni oil chafu? Huu ubaguzi sio mzuri kumbuka nanyi vijana kesho mtakuwa wazee
 
pakua hapa mkuu
nadhani mkuu alilenga maana hii...
a short sacred cow refer to an idea, custom, or institution held to be above criticism.
nadhani hapo mkuu Firewall tuko pamoko.
Thanks mkuu, hiyo ya kitu kua above criticism nilikua naifahamu, nlkua sijaelewa amemaanisha nini kutokana na hii post. Au umemwelewaje mkuu?
 
Ni nzuri lakini wengi tunahitaji mobile version
Mkuu mbona ipo responsive kwa mobile devices. Umejaribu kubrowse kwa mobile? Hata hivyo by kesho TaalumaForums itaanza patikana kupitia Tapatalk app kwa wale watumiaji, na ntatoa update kuptia uzi huu huu.
Karibu
 
Ukisema "hasa vijana" ina maana sisi wazee mshatuona ni oil chafu? Huu ubaguzi sio mzee kumbuka nanyi vijana kesho mtakuwa wazee
Mkuu niwie radhi kama hayo maneno yamekukwaza. Lakini kwenye maelezo hapo juu kuna sehemu nimeandika "TaalumaForums inalenga wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu, wakufunzi (teachers & lecturers), wanataaluma wengine, wapenda knowledge kwa ujumla pamoja na watu wa rika zote. So hata wazee wanahusika pia, niliwek msisitizo wa hasa vijana sababu wao ndo wako wengi kwa idadi katika karibia kila sekta hasa taaluma (Vyuoni na mashuleni) Otherwise watu wa rika zote
 
Thanks mkuu, hiyo ya kitu kua above criticism nilikua naifahamu, nlkua sijaelewa amemaanisha nini kutokana na hii post. Au umemwelewaje mkuu?


Kwa tafsiri siyo rasmi sana ,
mie naona labda alimaanisha kuwa JF kama taasisi isiyotiliwa shaka
anakubaliana/ anawapongezeni kwa ubunifu wenu wa kuongeza hiyo kitu (Jukwaa jipya ulilolitambulisha)..hivyo hana mashaka na hilo jukwaa jipya kwani limekuja kukidhi mahitaji ya washika dau wa JF yetu.
But i stand to be corrected , si unajua lugha ya malkia hii ina maana nyingi nying muda mwingine.
 
Unapokuja na idea ya forums jaribu kuangalia zilizopo zinamapungufu gan kama developer. Kwa ushaur jina aliendan na forum yako. Ungedil na kitu kimoja kwa mfano technologies tu alafu ungejaribu kutafuta jina lingine sio lazima liishie na forums mfano labda noteboard. Kwa ilivyo sasa unaonekana ume copy naku paste (jamiiforums)
 
Unapokuja na idea ya forums jaribu kuangalia zilizopo zinamapungufu gan kama developer. Kwa ushaur jina aliendan na forum yako. Ungedil na kitu kimoja kwa mfano technologies tu alafu ungejaribu kutafuta jina lingine sio lazima liishie na forums mfano labda noteboard. Kwa ilivyo sasa unaonekana ume copy naku paste (jamiiforums)

wazo zuri...mkuu Firewall lifanyie kazi\
kesho nikitulia nitajiunga kwani naweza pakua mambo adimu
na mazuri sana.
 
Last edited by a moderator:
Wazo Lako N Zur Kama Alvo Sma Mdau Hapo Juu Heb Deal Na Elimu T Hat Kama Utatumia Jna La Forum Bt Deal Hbu Ungeboresha Na Kuwa Hv N Waz T,
Hisab Forum
Fizikia Forum
.....
Maana Hap Kuna Mizik Mara Muv Na Machizo Hap Utawachangany Wafuas Coz Anawez Kuwa Na Leng Zur La Kusoma Akaishia Kuangalia Ama Kupakua Mizik Deal Na Elimu Ndgu Mengine Wadau Wengine Wataongeza
 
Back
Top Bottom