nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,860
- 5,803
Yeah Nyerere alimgusa Tiny Rowland owner wa LONRHO; Ndio Maana walibeba MIZIGO na KUONDOKA walitaka kuishitaki Tanzania.Nyerere alijaribu kumgusa mtu anaitwa Tiny Rowlands alikuwa mmiliki wa shirika likiitwa LONRHO. Ulimshinda huo mfupa.
Usicheze na haya mashirika makubwa yanayochangia kwa kiasi kikubwa bajeti za nchi zao, utaumia, ukipenda usipende.
Uliona Symbion ilvyochukuwa mitambo ya Dowans alikuja nani kuitembelea hiyo mitambo? jiulize, ilihusu nini? halafu jiulize tena Mzee Mwanakijiji alikuwa mstari wa mbele kuiponda Dowans, ulimsikia akinyanyua sauti kwa Symbion? na mitambo ndio hiyo hiyo, jiulize kwanini? Hata upinzani hawakuitaja tena.
Cheza na mwenye mali usicheze na mali zake.
Hawakuwa Na Uwezo... especially kwenye Tanzania Lybrands na Mashamba ya Kahawa Arusha... na alilazimishwa kuuza PEUGEOT EA HAPO DAR Nadhani unamkumbuka Mkimbizaji Magari Mzungu wa Kitanzania Bert Shankland... alikuwa anafanya kazi hiyo Kampuni aliondoka Tanzania 1988