Former official denies Trump's phones were tapped

Former official denies Trump's phones were tapped

Obama Issues Statement After Trump Claims About Wiretapping - CBSN Live Video - CBS News

JUST IN: A spokesperson for former President Obama has issued a statement on President Trump's wiretapping claims, saying "neither President Obama nor any White House official ever ordered surveillance on any U.S. citizen." Obama Issues Statement After Trump Claims About Wiretapping - CBSN Live Video - CBS News

Kwani Marekani haijawahi kudukua taarifa za wananchi wake? Kama utawala wa Rais fulani waliweza kudukua taarifa za wananchi, vipi utawala mwingine usiweze kufanya hivyo?
Utawala wa Rais Obama, ndio kashfa za kudukua mawasiliano ya viongozi wengine wa mataifa mbalimbali ulifanyika, haiwezi kushindikana hata kumdukua Donald Trump.
Time will tell....
 
Trump is paranoid, the steady drip drip of the Russian Saga is no joke. Speech ya Congress ilitakiwa kufunika yote but, came Thursday. Another day, another episode. Anaona vyombo vya usalama vilimfatilia na hizo connections.

Sijui ana substantiated evidence gani kuweka allegations nzito kama hivi kwa former president mpaka kumwita sick.
 
Pro Obama pro mashoga nawaonaaaaa povu limewajaaa trump hatobadilika! Suala la Russia ni politics tu acha nayeye afanye politics najua mwishowe mshindi ni trump no matter what and how!
 
West Palm Beach, Florida (CNN)President Donald Trump is asking Congress to look into whether the Obama administration abused its investigative powers during the 2016 election, White House press secretary Sean Spicer said in a statement Sunday.

The request came a day after Trump took to Twitter to accuse former President Barack Obama, without providing any evidence, of wiretapping his phones in Trump Tower in the weeks before the November election.
"Reports concerning potentially politically motivated investigations immediately ahead of the 2016 election are very troubling," Spicer said in the statement, which he also posted on Twitter. "President Donald J. Trump is requesting that as part of their investigation into Russian activity, the congressional intelligence committees exercise their oversight authority to determine whether executive branch investigative powers were abused in 2016."


"Neither the White House nor the President will comment further until such oversight is conducted," Spicer added. He did not provide any further details on the President's request to Congress.

White House requests Congress investigate whether Obama administration abused power - CNNPolitics.com
 
  • Thanks
Reactions: kui
Congress should investigate him. Hii ni kubadili mwelekeo, away from the cloud that's hanging over the WH.

"President Donald Trump is extremely frustrated with his senior staff and communications team for allowing the firestorm surrounding Attorney General Jeff Sessions to steal his thunder in the wake of his address to Congress, sources tell CNN.
"Nobody has seen him that upset," one source said, adding the feeling was the communications team allowed the Sessions news, which the administration deemed a nonstory, to overtake the narrative"...

Trump angry and frustrated at staff over Sessions fallout - CNNPolitics.com
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Anataka kubadili mwelekeo baada ya kuona haya ya Russia kumbe hata mkwewe anahusika na si ajabu alilipwa ili kukutana na balozi. Mwanae alichukua $50,000 katika mkutano na Warusi uliofanyika Paris.
Sijui kama ataumaliza 2017 salama huyu. Jana tena kamrukia Schwarzenegger kuhusiana na apprentice.

Congress should investigate him. Hii ni kubadili mwelekeo, away from the cloud that's hanging over the WH.

"President Donald Trump is extremely frustrated with his senior staff and communications team for allowing the firestorm surrounding Attorney General Jeff Sessions to steal his thunder in the wake of his address to Congress, sources tell CNN.
"Nobody has seen him that upset," one source said, adding the feeling was the communications team allowed the Sessions news, which the administration deemed a nonstory, to overtake the narrative"...

Trump angry and frustrated at staff over Sessions fallout - CNNPolitics.com
 
Anataka kubadili mwelekeo baada ya kuona haya ya Russia kumbe hata mkwewe anahusika na si ajabu alilipwa ili kukutana na balozi. Mwanae alichukua $50,000 katika mkutano na Warusi uliofanyika Paris.
Sijui kama ataumaliza 2017 salama huyu. Jana tena kamrukia Schwarzenegger kuhusiana na apprentice.


Yaani mpaka na mkwe ndani ya hii issue, hata kama maongezi yalikuwa ya kikazi, it will still raise questions about their business empire whereabouts.
Itafika mahala watu wataishi kwa wasiwasi cos kila siku ni mabomu, don't know what to expect next.

Kamrukia Schwarzenegger tena!, he's all over the place.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mtu wa ajabu sana huyu! Badala ya kushughulikia mambo muhimu ya kuendesha nchi anabwabwaja kuhusu apprentice!

Trump says Schwarzenegger was fired from ‘Apprentice.’ Then Schwarzenegger fires back.

Analysis | Trump says Schwarzenegger was fired from ‘Apprentice.’ Then Schwarzenegger fires back.


Yaani mpaka na mkwe ndani ya hii issue, hata kama maongezi yalikuwa ya kikazi, it will still raise questions about their business empire whereabouts.
Itafika mahala watu wataishi kwa wasiwasi cos kila siku ni mabomu, don't know what to expect next.

Kamrukia Schwarzenegger tena!, he's all over the place.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Mtu wa ajabu sana huyu! Badala ya kushughulikia mambo muhimu ya kuendesha nchi anabwabwaja kuhusu apprentice!

Trump says Schwarzenegger was fired from ‘Apprentice.’ Then Schwarzenegger fires back.

Analysis | Trump says Schwarzenegger was fired from ‘Apprentice.’ Then Schwarzenegger fires back.


Asee, halafu hapo alishasema the time for trivial fights is over. Trump bhana.
No wonder Schwarzenegger kamwita names (baggage)

Nimependa the WP walivyo malizia mwisho, "And the sixth-graders rolled their eyes in exasperation"...lol!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hajitambui huyu Babu kabisa. Leo kasema hivi kesho kasema vile contradictions mtindo mmoja!

Asee, halafu hapo alishasema the time for trivial fights is over. Trump bhana.
No wonder Schwarzenegger kamwita names (baggage)

Nimependa the WP walivyo malizia mwisho, "And the sixth-graders rolled their eyes in exasperation"...lol!
 
Hajitambui huyu Babu kabisa. Leo kasema hivi kesho kasema vile contradictions mtindo mmoja!

hiyo ndo dawa yenu na kibibi chenu. chaliiiii!!! kifo cha mende
 
  • Thanks
Reactions: BAK
  • Thanks
Reactions: BAK
Lol! Eagle's eye that is the most important para on this article.😛😛😛

"If this happened...If this's accurate. If, If, If.."
"At one point later in their conversation, Huckabee Sanders even said, "I will let the president speak for himself" -- to which an exasperated Raddatz responded: "You're his spokesperson."..


😀😀😀
 
Of course hakuna ushahidi but they can force this issue because they've a majority. Abuse of power.

"..And, in this case, Congress is in the unhappy position of possibly having to fold this claim into its existing Russia investigations, while the White House attempts to wash its hands of Trump's conspiracy theory-mongering"...

Hivi kweli inaweza kufika Congress, kwa ushahidi upi?
 
Back
Top Bottom