Formation ya leo ya Simba kupambana na Azam Mapinduzi cup (4-2-3-1)

Venus Star

JF-Expert Member
Dec 6, 2018
19,225
58,148
Timu kubwa timu la ushindi.

Formation kuwaua Azam. Mchezo wetu ni dakika 90 tutakuwa tumeua mtu. Mambo ya matuta ni uto kuleee!

Screenshot_20220113-103842.png
 
Approach ya kwanza ya Azam walicheza 4-4-2 watajikuta Wanamuacha Bwalya akicheza pekee yake. Huku wakiwa na Midfielders wawili tu wakati Simba ikiwa na watatu
ANIMATION_2 (1).jpg
 
Wakija na Approach ya 4-3-3 watajikuta Innonga anakuwa hana mtu na kufanya aende Ku cover nafasi ya Kapombe huku kapombe akibaki bila mtu na kuonge mbele mashambulizi.
ANIMATION_2 (2).jpg
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom