Form 6 wanatakiwa kujiunga na JTK For 6 months

jamani wadau wenzangu,
leo nilisikia news kuwa kuanzia 2012 wanafunzi wakimaliza kidato cha sita wanatakiwa kujiunga na JKT..
is it true? na nani alie toa huu ujumbe?
natanguliza shukraani

It is true. Zilikuwa kwenye gazeti last last week. Ilitakiwa waende mwaka huu, lakini hakuna fedha. Ni kupoteza fedha bure na muda wa watoto wetu. Wanakwenda kufanya nini wakati nchi hii inashida ya fedha sana. Eti wajifunze uzalendo, mafisadi wote walipitia JKT, hata mzee wa vijisent alipitia huko, uzalendo uko wapi!!!! Wooooote, walipitia JKT hakuna aliye mzalendo, waache kupoteza fedha za walipa kodi.
 
Hiyo ni kweli jamanii na kuna kambi inaitwa itaka 884kj itende inaandaliwa huko kuna maheka na maheka ya mashamba ya mikahawa...!
 
why form six???????? wawapeleke wakishamaliza chuo na wawape ajira, tuone ujanja wao.
 
Kama ni hvyo ni habari njema maana wanafunzi wa siku hizi wamekuwa legelege.

Nani kakwambia waliopita JKT wote ni wakakmavu? wengi walikuwa maselule na walinzi wa hanga na hata wale waliopiga kwata mwezi mmoja tu baada ya JKT walijaza vitambi kwa hasira. waache kuharibu pesa zetu na kuwaambukiza ukimwi binti zetu ovyo ovyo...
 
kaka let me rectify u... it was speeling mistake badala yakuandika wasnt ... nimeandika was...
kwani wewe hujawahi kufanya makosa madogomadogo.... lool au wewe nika roboti..

check others
 
Wanataka kui'mport uzalendo kwa kurudisha JKT?mbona akina Msekwa,Lowassa,JK,Jairo,Wassira,Shimbo,Mkuchika,Chiligati n.k wote walipita na hata jeshini lakini ndo wanaongoza kwa ufisidi hapa bongo?

JKT peke yake haitoshi,wanatakiwa kwanza wao waonyeshe mfano wa kuwa wazalendo kama P.Magufuli ndo wakaanzishe hayo mambo yao vinginevyo watawapeleka watoto wetu wakaambukizwe magonjwa na wanajeshi huko makambini
 
Bora niende kambi, kujifunza kilimo cha vitunguu kuliko kukaa idle miezi 6 kuangalia chanel 5 na clouds tv. naunga mkono hoja. Vijana wa cku hizi hawana ujuz wowote wanajua kushuka essay tu, JKT itasaidia kuwapa vijana ufundi tofaut tofaut.
 
Back
Top Bottom