Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Ww unaongelea mtu wa form 4 au form 6 apo ndo ntapata jbu?
 
Nadhani you mess up something....masomo ya form 6 hayazidi 4
Inawezekana labda n system mpya ndo imeanza lakn b4 sizani kama ilikuwepo maybe nacte ndo wamei develop now kiongoz...
 
Ww unaongelea mtu wa form 4 au form 6 apo ndo ntapata jbu?
Na hapo unaposema certificate ina clear ile failure ya 4m4 skuelewi coz kuna mtu ana d 4 na anaanzia certificate and not diploma..mi nnachojua mtu akipata failure kwa vyo vya nacte lazma asome upgrading course(uc) kwa miez kama mitatu akifaulu ndo anakua ameclear den anaanza certificate,afu mwsho diploma hawez kwenda degree tena...
 
Kwa ujumla huu UZI vijana wengi wanashauri wenzao wasome masomo ya sayansi.

Form 4!-Nawashauri mfuate ushauri wa kaka zenu,
HGL,HKL na other Art combination hazilipi,
Madaktari na engineers wana fedha na ndo hao unaskia Magufuli anasema wanapata mshahara mil 40 kupanda,nitaftie mtu wa Arts anayezidi 20mil?Hamna!

Pia mkisoma sayansi mtalisaidia Taifa!
 
Mkuu umefanya utafiti lakini???
 
Hata teuzi nyingi za Magufuli ni Mainjinia....
 

Sijui mmeanzia wapi kueleweshana ila ningependa kujazia kidogo, ukiwa na D5 o-level unaruhusiwa kwenda diploma chuo chochote ambacho kina course unayoitaka, kuna wanafunzi wanaenda kusoma nursing, udaktari wa wanyama, diploma ya uvuvi, uhasibu, clinical officer. kwahiyo asemalo jamaa yuko sawa ila nahisi kuna sehemu 2 mnapishana
 
Ingia katika website ya NACTE utakuta vyuo zaidi ya 544,chagua kozi katika chuo ukipendacho uombe, sifa ni D 4 tu katika masomo yeyote
 
 
Yap umetoa maelezo mazuri huenda yatamsaidia pia. samyz
 
Ingia katika website ya NACTE utakuta vyuo zaidi ya 544,chagua kozi katika chuo ukipendacho uombe, sifa ni D 4 tu katika masomo yeyote
Umefafanua vema....Mda mwingine labda kwa kumbukumbu tu ni kwamba unaweza ukawa umekolifai kwa hizo D 4 lakini kwakuwa waombaji wengi wana alama nzuri zaidi ya D basi mtu aliyepata D akaachwa!!
 
Mimi nilipatag biology b geography c but chemistry nilialibu nilikuwa na malengo hyo hyo ya kusoma cbg but now npo na comb yang ya hgl
 
Mkuu hv kama mtu kafaulu ana division2 hiv kwenda advance na kwenda chuo kuchukua diploma kip bora?
 


Wakuu mdogo wangu kwa matokeo haya ya sasa alipata
C moja ya biology,F ya hesabu,
F ya physics na hizo zingine zilizobaki kapata zote D ila kwa sasa ameamua kurisit hayo masomo aliyofeli ya physics na hesabu ili kupata C za kuongezea pale sekondari ya Thaqafa mwanza vip hapo mnaweza kunisaidiaje..???

Na vip kama akifaulu na kupata hizo C ataweza kuendelea na kidato cha tano....?????
Mwakani
 
hayo mafunzo ya celtficate yana tolewa kwenye vyuo gani au chuo chochote kinatoa hayo mafunzo.
na ada bei gan??????
na jinc ya kutuma maombi pia nielekezen jaman
 
hayo mafunzo ya celtficate yana tolewa kwenye vyuo gani au chuo chochote kinatoa hayo mafunzo.
na ada bei gan??????
na jinc ya kutuma maombi pia nielekezen jaman
Kwenye vyuo vya nacte na ada kwa certificate inachezea kwenye laki 8 hv sjui kama imepanda..
 
Kwa barua rasmi kutoka TCU kwa kozi yoyote kuanzia certificate/diploma walisema ni kuanzia 4 passes (Ds and above)... sasa utaangalia ktk hizo D una relate kusoma kipi ndio unaomba na sio D tano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…