Ww unaongelea mtu wa form 4 au form 6 apo ndo ntapata jbu?Habari Mkuu, kumbuka utaratibu ule wa zamani umerudishwa na Waziri mwenye dhamana, kwahiyo ukiauacha mfumo wa GPA, ni kwamba ufaulu wa D 5, yaani 3 za principal na 2 za kawaida basi unakuwa umequalify kuanza Diploma. MARA NYINGI, certificate inaclear ile failure ya form 4, kupata D sio failure....labda kama values zimebadilishwa.
Inawezekana labda n system mpya ndo imeanza lakn b4 sizani kama ilikuwepo maybe nacte ndo wamei develop now kiongoz...Nadhani you mess up something....masomo ya form 6 hayazidi 4
Na hapo unaposema certificate ina clear ile failure ya 4m4 skuelewi coz kuna mtu ana d 4 na anaanzia certificate and not diploma..mi nnachojua mtu akipata failure kwa vyo vya nacte lazma asome upgrading course(uc) kwa miez kama mitatu akifaulu ndo anakua ameclear den anaanza certificate,afu mwsho diploma hawez kwenda degree tena...Ww unaongelea mtu wa form 4 au form 6 apo ndo ntapata jbu?
Mkuu umefanya utafiti lakini???Kwa ujumla huu UZI vijana wengi wanashauri wenzao wasome masomo ya sayansi.
Form 4!-Nawashauri mfuate ushauri wa kaka zenu,
HGL,HKL na other Art combination hazilipi,
Madaktari na engineers wana fedha na ndo hao unaskia Magufuli anasema wanapata mshahara mil 40 kupanda,nitaftie mtu wa Arts anayezidi 20mil?Hamna!
Pia mkisoma sayansi mtalisaidia Taifa!
Hata teuzi nyingi za Magufuli ni Mainjinia....Kwa ujumla huu UZI vijana wengi wanashauri wenzao wasome masomo ya sayansi.
Form 4!-Nawashauri mfuate ushauri wa kaka zenu,
HGL,HKL na other Art combination hazilipi,
Madaktari na engineers wana fedha na ndo hao unaskia Magufuli anasema wanapata mshahara mil 40 kupanda,nitaftie mtu wa Arts anayezidi 20mil?Hamna!
Pia mkisoma sayansi mtalisaidia Taifa!
Na hapo unaposema certificate ina clear ile failure ya 4m4 skuelewi coz kuna mtu ana d 4 na anaanzia certificate and not diploma..mi nnachojua mtu akipata failure kwa vyo vya nacte lazma asome upgrading course(uc) kwa miez kama mitatu akifaulu ndo anakua ameclear den anaanza certificate,afu mwsho diploma hawez kwenda degree tena...
Haya matokeo ndiyo hayo yametoka!! Kila kitu hadharani, sasa ukiwa hapa JF ndo mpango nzima!! Manake watu washaanza kuhoji, mi nina hiki au kile nitafanyaje, haya ngoja nitajaribu kuweka mwongozo na alternatively nyingine due to spme perfomances kwa wote, manake naona huku kitaa watu wanadanganyana sana!!
Hii ni kwa kadri ninavyofahamu mimi, kama kuna marekebisho basi yafuatie:
=> Credit Qualification kwa hali ya kawaaida ni 'C'-Na ili uende Form 5 unahitaji uwe na C 3, hapa ni either umebalance Combination(Comb) au hujabalance. Sasa kama una C 3 na comb hujabalance, hautachaguliwa serikalini bali shule binafsi utaenda kusoma mchepuo utakaofanana na masomo yako.
[ Mfano: Civ-C, Kisw-C, Geo-C...unaweza fanya HGK ama HGL ama kozi nyingine hata kama english na History una D].
=>Ukiwa na C 2 na D kadhaa(lets say 4 ya 26), hapa utaweza kwenda Form 5 shule za Private lakini utatakiwa utafute C ya 3 kw kureset wakati upo form 5. Same na C 1 You need to re-sit.
=> Hapa sasa ndipo kwenye utata. Ukiwa na D 3, kiukweli sahau Form 5 kama hauhitaji kurisit, sasa qualification hizi zina option zifuatazo:
1. Unahitaji kupiga long pass kwa kwenda Chuo kwa ngazi ya Certificates. Duraation ya hii kozi ni 1 year Certificate. Sasa hapa kuna vyuo kadhaa vinavyotoa certificates. Hapa ni D za masomo yoyote yale Basic(sina uhakika kama B/Knwoledge na Islam zinazingatiwa na ndio maana nasema D za Basic Subjects)
Mfano: Unaweza kufanya Certicates vyuo vya CBE-Mambo ya Biashara, IFM, TIA, Utumishi wa Umma(Public Service) Vyuo vya Kilimo na Ualimunk.
Nakozi nyingi tu wanatoa kwa certificates..mfano Procurement, Accounts, Public Admistration, Recording, Clearing and Forwarding, Social Development, Secretarial Duties, Education nk.
=> Ukiwa na D 4 upo qualified kufanya ngazi ya certificate kama nilivyoanisha hapo juu.
=> Ukiwa na D 5 sasa hapa wewe umeula!! Hapa unaruhusiwa kabisa kufanya Basic Diploma katika vyuo vyote wanavyotoa Duploma. Kwa mfano vyuo hivyo nilivyovitaja hapa JUU, chukua form yako kwa maringo achana na biashara ya kurisit omba kozi ya diploma, Teana kama una D ya hesabu na English ndo inakuwa rahisi zaidi kuchukuliwa.
=> Kwa wale waliosoma mahesabu kuna vyuo vingine kama DIT(Daar Institute), AIT(Arusha Inst) na Mbeya Tech Msishau kufanya maombi, na kwale waliopiga fresh Biology with minimum of D angalieni option za Nursing ni nzuri sana na katika vyuo vya MATC na COTC.
Kama kuna marekebisho yanakaribishwa na kama hoja ama daubt basi uwanja ndio huu. Most welcome!!
UPDATE:
Yap umetoa maelezo mazuri huenda yatamsaidia pia. samyzSijui mmeanzia wapi kueleweshana ila ningependa kujazia kidogo, ukiwa na D5 o-level unaruhusiwa kwenda diploma chuo chochote ambacho kina course unayoitaka, kuna wanafunzi wanaenda kusoma nursing, udaktari wa wanyama, diploma ya uvuvi, uhasibu, clinical officer. kwahiyo asemalo jamaa yuko sawa ila nahisi kuna sehemu 2 mnapishana
Umefafanua vema....Mda mwingine labda kwa kumbukumbu tu ni kwamba unaweza ukawa umekolifai kwa hizo D 4 lakini kwakuwa waombaji wengi wana alama nzuri zaidi ya D basi mtu aliyepata D akaachwa!!Ingia katika website ya NACTE utakuta vyuo zaidi ya 544,chagua kozi katika chuo ukipendacho uombe, sifa ni D 4 tu katika masomo yeyote
Kwenye vyuo vya nacte na ada kwa certificate inachezea kwenye laki 8 hv sjui kama imepanda..hayo mafunzo ya celtficate yana tolewa kwenye vyuo gani au chuo chochote kinatoa hayo mafunzo.
na ada bei gan??????
na jinc ya kutuma maombi pia nielekezen jaman