Majestic wolf
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 1,248
- 1,853
F ya physics alafu kaenda muhas?!?!?!?!?!?!?!?!Unasoma bila tatizo lolote.! Kwenye Udaktari wanaangalia sana Chemistry na Biology, mimi mdogo wangu alisoma CBG ila yupo MD mwaka 3 pale MUHAS.! na kuna jamaa yangu nilimalizaga naye Form 6 miaka hiyo alikuwa na B ya Chemistry, B ya Biology na F ya Physics lakini alichaguliwa kusoma MD pale MUHAS na sasa ni Daktari mzuri tu.! Cha muhimu uwe na ufaulu mzuri kwenye Chemistry na Biology
Karudie hyo E na D uwe na C zote maana CCD yenyew huwa offer tuNinataka nikasome pcm sasa nina EDC physics nina E je naweza kwenda kurudia mtihani wa physics huku naendelea kidato cha tano private school
Inawezekana sana mm mwenyew napiga MD na nilisoma cbgWana JF.Naomba mwenye uzoefu.
Hivi unaweza kusoma Udakitari au masuala ya afya kama umechukua combination ya CBG?
ahsante
Bwojo
Hapana ni uongoMwambie ukweli.Akisoma CBG na kama hali ikibaki kuwa hii hii,atakua eligible kusoma chuo kimoja tu chenye sifa Tanzania hii..AJUCO
Sitaki kuzungumzia Kampala,HKMU na IMTU kwa sababu maalum
Lakini kwenye afya uwanja wa CBG umefinywa sana.
Na vifaa tiba utavisomaje bila physics...? Hao wa cbg wanaochukuliwa baadhi ya vyuo huenda walikuwa na ufaulu mzuri kwenye physics olevelKwa maoni yangu, masuala ya Udakitari yanahitaji zaidi Chemistry na Biology, physics sijui inatumikaje kwenye fani hiyo! Kwa mtu aliyesoma CBG naona ni haki kusoma fani hiyo na anaiweza. Physics inahitajika zaidi kwenye fani nyingine kama za Uhandisi ambazo ni lazima uwe unaijua vyema na kuifaulu.
Vifaa tiba kwa Dakitari anakuwa kama operator, kwa jle physics ya O-level inatosha kabisa! Upande wa vifaa vyenyewe anayevifanyia matengenezo anakuwa amesoma Biomedical Engineering, huyo ndiye anaulazima wa kuwa amesoma PCB au PCM!Na vifaa tiba utavisomaje bila physics...? Hao wa cbg wanaochukuliwa baadhi ya vyuo huenda walikuwa na ufaulu mzuri kwenye physics olevel
Hapana ni uongo
Uwanja upo mpana sana
Sema inatakiwa mtu awe na ufaulu mzur
Inawezekana sana mm mwenyew napiga MD na nilisoma cbg
Kinachotakiwa kaza buti soma kwa bidii faulu vizur utapata unachotaka
Vyuo vingi tu vimechukua cbg kinachotakiwa n ufaulu mzuri wapo PCB wengi wameenda kusoma mambo ambayo hawakuwahi kuyafikiria na walikuwa na ndoto za kusoma MD PCB sio kigezo.Kigezo ni ufaulu wako uwe mzur hasa bioz,chem na bam
Ooh .mm nlitaka udaktar sasa phizikia nlikatishws tangu o level nmepata kama hivi
Bios c geo c chemi c english b mathe d na mengine yote c
Je naweza kusoma phyisics advance but o level sikuisoma
Kiukwel kabisa watu wanaotakiwa kusoma MD na phamacy ni watu wa PCB...wewe kama ulisoma CBG na ukapata md hio ni bahat yako tu mkuu au ulipita njia za panya ...fatilia vigezo vya udaktar uoneHapana ni uongo
Uwanja upo mpana sana
Sema inatakiwa mtu awe na ufaulu mzur
Inawezekana sana mm mwenyew napiga MD na nilisoma cbg
Kinachotakiwa kaza buti soma kwa bidii faulu vizur utapata unachotaka
Vyuo vingi tu vimechukua cbg kinachotakiwa n ufaulu mzuri wapo PCB wengi wameenda kusoma mambo ambayo hawakuwahi kuyafikiria na walikuwa na ndoto za kusoma MD PCB sio kigezo.Kigezo ni ufaulu wako uwe mzur hasa bioz,chem na bam
Hahahaha hawataki kukubali ukwel kihalali kbs cbg huwez soma md hizo ni sheria zilizowekwaMwambie pia chuo unachosoma sio MUHAS wala UDOM
Kweli kabisaMkuu,mdogo wangu alisoma CBG alikua na distinction na GPA ya 4. na alikosa hata Nursing ya MUHAS akachaguliwa medicine ya AJUCO
Kama hauamini sawa lakini uhalisia ndio uko hivyo
Mi naomba kujulishwa zaidi apo kwenye d 5 unasema unaenda diploma direct kivp? Na ordinary diploma na hio special zinatofautiana nn? na how comes kwa form4 uende diploma bila kupitia certificate? io i think form six labda ndo wanaenda direct to ordinary diploma nta level 5&6 kwa vyuo vya nacte mkuu.Haya matokeo ndiyo hayo yametoka!! Kila kitu hadharani, sasa ukiwa hapa JF ndo mpango nzima!! Manake watu washaanza kuhoji, mi nina hiki au kile nitafanyaje, haya ngoja nitajaribu kuweka mwongozo na alternatively nyingine due to spme perfomances kwa wote, manake naona huku kitaa watu wanadanganyana sana!!
Hii ni kwa kadri ninavyofahamu mimi, kama kuna marekebisho basi yafuatie:
=> Credit Qualification kwa hali ya kawaaida ni 'C'-Na ili uende Form 5 unahitaji uwe na C 3, hapa ni either umebalance Combination(Comb) au hujabalance. Sasa kama una C 3 na comb hujabalance, hautachaguliwa serikalini bali shule binafsi utaenda kusoma mchepuo utakaofanana na masomo yako.
[ Mfano: Civ-C, Kisw-C, Geo-C...unaweza fanya HGK ama HGL ama kozi nyingine hata kama english na History una D].
=>Ukiwa na C 2 na D kadhaa(lets say 4 ya 26), hapa utaweza kwenda Form 5 shule za Private lakini utatakiwa utafute C ya 3 kw kureset wakati upo form 5. Same na C 1 You need to re-sit.
=> Hapa sasa ndipo kwenye utata. Ukiwa na D 3, kiukweli sahau Form 5 kama hauhitaji kurisit, sasa qualification hizi zina option zifuatazo:
1. Unahitaji kupiga long pass kwa kwenda Chuo kwa ngazi ya Certificates. Duraation ya hii kozi ni 1 year Certificate. Sasa hapa kuna vyuo kadhaa vinavyotoa certificates. Hapa ni D za masomo yoyote yale Basic(sina uhakika kama B/Knwoledge na Islam zinazingatiwa na ndio maana nasema D za Basic Subjects)
Mfano: Unaweza kufanya Certicates vyuo vya CBE-Mambo ya Biashara, IFM, TIA, Utumishi wa Umma(Public Service) Vyuo vya Kilimo na Ualimunk.
Nakozi nyingi tu wanatoa kwa certificates..mfano Procurement, Accounts, Public Admistration, Recording, Clearing and Forwarding, Social Development, Secretarial Duties, Education nk.
=> Ukiwa na D 4 upo qualified kufanya ngazi ya certificate kama nilivyoanisha hapo juu.
=> Ukiwa na D 5 sasa hapa wewe umeula!! Hapa unaruhusiwa kabisa kufanya Basic Diploma katika vyuo vyote wanavyotoa Duploma. Kwa mfano vyuo hivyo nilivyovitaja hapa JUU, chukua form yako kwa maringo achana na biashara ya kurisit omba kozi ya diploma, Teana kama una D ya hesabu na English ndo inakuwa rahisi zaidi kuchukuliwa.
=> Kwa wale waliosoma mahesabu kuna vyuo vingine kama DIT(Daar Institute), AIT(Arusha Inst) na Mbeya Tech Msishau kufanya maombi, na kwale waliopiga fresh Biology with minimum of D angalieni option za Nursing ni nzuri sana na katika vyuo vya MATC na COTC.
Kama kuna marekebisho yanakaribishwa na kama hoja ama daubt basi uwanja ndio huu. Most welcome!!
UPDATE:
Habari Mkuu, kumbuka utaratibu ule wa zamani umerudishwa na Waziri mwenye dhamana, kwahiyo ukiauacha mfumo wa GPA, ni kwamba ufaulu wa D 5, yaani 3 za principal na 2 za kawaida basi unakuwa umequalify kuanza Diploma. MARA NYINGI, certificate inaclear ile failure ya form 4, kupata D sio failure....labda kama values zimebadilishwa.Mi naomba kujulishwa zaidi apo kwenye d 5 unasema unaenda diploma direct kivp? Na ordinary diploma na hio special zinatofautiana nn? na how comes kwa form4 uende diploma bila kupitia certificate? io i think form six labda ndo wanaenda direct to ordinary diploma nta level 5&6 kwa vyuo vya nacte mkuu.