Form 4 na wengine, angalieni hapa!


nashukuru sana kwa jibu lako zuri. sasa ni wakati wangu kufanyia kazi.
 
mwenye 3 ya 26
civ c
bios b
chem c
geog c
hist c
engl b
math d
kisw c
je anaweza kuchaguliwa govment wakuu nisaidieni.
 
mkuu utaratibu wa kuwa form 5 at the same time unarisit ulisha badilishwa kitambo na wizara kwanza una clear then unaendelea labda kama mtu nafanya ivo kimagamashi,take my note
 
mkuu utaratibu wa kuwa form 5 at the same time unarisit ulisha badilishwa kitambo na wizara kwanza una clear then unaendelea labda kama mtu nafanya ivo kimagamashi,take my note
Thanks ila ukiangalia vizuri kwenye bandiko langu nimeweka updatee, ulichokiandika ww ndio kipo kwenye update hapo juu by structuralist
 
Last edited by a moderator:
nashukuru kwa ufafanuzi wako mzuri. ila bado nahitaji ufafanuzi zaidi. je ukiwa una pass 3 unaweza kusomea kozi zipi na vyuo gani wanachukua wenye pass 3..? mimi nina C 2 na D 2. C1 ya dini ndio maana nikasema nina pass 3. pls nijuze.
 
Msaada kwa anaefahamu chuo cha utumishi tawi la Mtwara kilipo naitaji kwenda kusoma uko.
 
Njoo mjini wenyew utatukuta wa Gas City
 
Panda gari za mtwara hadistand kuu ya mtwara then unaweza kuchukua bodaboda, bajaza ama tax na ni mwendo wa kama dakika 7 hadi 10 kutoka stand kuu
 
Kipo karibu na shule ya secondary ya Mtwara Tech
 
asante! nategemea mwez wa kwanza ntakuwa uko, unaweza kuniambia gharama za hostel au kupata chumba
 
Mara nyingi chumba mtwara cha kawaida hakizidi 30,000 na kwa hostel nitakujulisha subr nifanye utafiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…