demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Habari wasakatonge wenzangu.
Leo asubuhi nilikiwa ghetto maeneo ya Troyes street hapa jijini Pretoria. Nikaona isiwe tabu ngoja nizame mitaa yangu ya zamani nijaribu kicheki na washkaji wa kitambo hiko enzi napiga kitabu huku.
Nikaingia zangu mtaani kwenda kwenye ukumbi wa matamasha wa Miriam Makeba. Kufika nikakuta pako tupu nadhani ni sababu za korona.
Badala yake nika spot wanafunzi kadhaa kona ya ukumbi wakiwa kwenye discussion.
Kuwauliza wanafanya nini pale wakasema wamejiunga na kozi ya masuala ya fedha kwaiyo ndio wana jadili na kuisoma vyema. Walishindwa kunitajia labda walitambua kuwa mimi ni mgeni na pengine sifahamu chochote kuhusu forex.
Kichungulia kioo cha laptop zao nikagundua wanasoma kozi ya Forex Trading inayotolewa kama kozi fupi na chuo kikuu cha Afrika ya kusini yaani UNISA (University of South Africa).
Siku nyingine ntawaleteeni experience yangu kabambe kipindi nasoma hapa UNISA.
Nikawauliza 'Kumbe UNISA wanatoa mafunzo ya FX?'. Wakajibi " ndio kwani nawe pia wafahamu kuhusu hii biashara?" ..Nikawajibu "Ndio, nimekuwa nikifanya FX Trading tangu mwaka 2018.
Wakaanza kuleta swaga za kunitaka nijiunge nao kudiscuss. Nikawadanganya kuwa naenda kumuona mke wangu hospital ya Arrie Ned Eastwood Park ambaye anatarajia kujifungua.
Note:- Vijana dunia inabadilika kwa kasi sana. Jitahidi uenende nayo kwa kasi. Sidhani kama kuna chuo duniani kinaweza kutoa mafunzo ya "KUBET"
Forex is taking over the space now
Leo asubuhi nilikiwa ghetto maeneo ya Troyes street hapa jijini Pretoria. Nikaona isiwe tabu ngoja nizame mitaa yangu ya zamani nijaribu kicheki na washkaji wa kitambo hiko enzi napiga kitabu huku.
Nikaingia zangu mtaani kwenda kwenye ukumbi wa matamasha wa Miriam Makeba. Kufika nikakuta pako tupu nadhani ni sababu za korona.
Badala yake nika spot wanafunzi kadhaa kona ya ukumbi wakiwa kwenye discussion.
Kuwauliza wanafanya nini pale wakasema wamejiunga na kozi ya masuala ya fedha kwaiyo ndio wana jadili na kuisoma vyema. Walishindwa kunitajia labda walitambua kuwa mimi ni mgeni na pengine sifahamu chochote kuhusu forex.
Kichungulia kioo cha laptop zao nikagundua wanasoma kozi ya Forex Trading inayotolewa kama kozi fupi na chuo kikuu cha Afrika ya kusini yaani UNISA (University of South Africa).
Siku nyingine ntawaleteeni experience yangu kabambe kipindi nasoma hapa UNISA.
Nikawauliza 'Kumbe UNISA wanatoa mafunzo ya FX?'. Wakajibi " ndio kwani nawe pia wafahamu kuhusu hii biashara?" ..Nikawajibu "Ndio, nimekuwa nikifanya FX Trading tangu mwaka 2018.
Wakaanza kuleta swaga za kunitaka nijiunge nao kudiscuss. Nikawadanganya kuwa naenda kumuona mke wangu hospital ya Arrie Ned Eastwood Park ambaye anatarajia kujifungua.
Note:- Vijana dunia inabadilika kwa kasi sana. Jitahidi uenende nayo kwa kasi. Sidhani kama kuna chuo duniani kinaweza kutoa mafunzo ya "KUBET"
Forex is taking over the space now