Jina la Magufuli labamba Uingereza: Ukumbi mzima wa Chuo Kikuu cha Coventry wazizima baada ya kusoma jina la muhitimu kutoka Tanzania.

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
May 30, 2017
2,869
3,188
IMG_6433.JPG

Maprofesa wa Chuo Kikuu cha Coventry nchini Uingereza, wakiongozwa na Mkuu wa Chuo, Irene Glendinning, pamoja na Ukumbi mzima, ulizizima wakati jina la Mtanzania aitwaye Dk. John Pima lilipotajwa wakati wa Mahafali ya wahitimu wa Kozi ya Uzamivu wapatao 11 waliotoka katika Mataifa tisa duniani.
Dk. Pima ambaye alikuwa shuhuda, alieleza kuwa, baada ya jina lake kusomwa ili aende mbele kutunukiwa shahada ya Uzamivu, walipotaja tu John Pima from Tanzania, shangwe ziliibuka wakitaja Magufuli .... Magufuli ... Magufuli ... Tanzania."
Dk. Pima alieleza kuwa, baada ya mahafali, maprofesa na wahitimu wenzake walimfuata na kumuulizia habari za Rais Magufuli wanazosikia kwenye vyombo vya habari wakitaka kujua ni mtu wa namna gani? Wengi walipongeza kasi na msimamo wake wa:
  • kukusanya mapato,
  • kudhibiti matumizi ya fedha za umma,
  • kushughulikia mafisadi,
  • ununuzi wa ndege,
  • upanuzi wa bandari
  • ujenzi wa barabara za juu
  • uanzishwaji wa viwanda.
Walidai Nchi nyingi za kiafrika zina rasilimali nyingi lakini Viongozi wao hawana uthubutu wa kufanya maamuzi magumu na hawana maono kama ya Rais Magufuli, na kwamba hawatambui kuwa kama wanaweza kujiletea maendeleo pasipo kutegemea misaada kutoka mataifa makubwa.

IMG_6429.JPG
 
....ulizizima wakati jina la Mtanzania aitwaye Dk. John Pima lilipotajwa wakati wa Mahafali.... Je? ndiye yule alikuwa Mwl wa Computer iaa Njiro na baadae akala uteuzi wa Mh na kuwa afisa elimu huko tabora? Kama ndiye ntarudi baadae!
 
Maprofesa wa Chuo Kikuu cha Coventry nchini Uingereza, wakiongozwa na Mkuu wa Chuo, Irene Glendinning, pamoja na Ukumbi mzima, ulizizima wakati jina la Mtanzania aitwaye Dk. John Pima lilipotajwa wakati wa Mahafali ya wahitimu wa Kozi ya Uzamivu wapatao 11 waliotoka katika Mataifa tisa duniani.
Dk. Pima ambaye alikuwa shuhuda, alieleza kuwa, baada ya jina lake kusomwa ili aende mbele kutunukiwa shahada ya Uzamivu, walipotaja tu John Pima from Tanzania, shangwe ziliibuka wakitaja Magufuli .... Magufuli ... Magufuli ... Tanzania."
Dk. Pima alieleza kuwa, baada ya mahafali, maprofesa na wahitimu wenzake walimfuata na kumuulizia habari za Rais Magufuli wanazosikia kwenye vyombo vya habari wakitaka kujua ni mtu wa namna gani? Wengi walipongeza kasi na msimamo wake wa:
  • kukusanya mapato,
  • kudhibiti matumizi ya fedha za umma,
  • kushughulikia mafisadi,
  • ununuzi wa ndege,
  • upanuzi wa bandari
  • ujenzi wa barabara za juu
  • uanzishwaji wa viwanda.
Walidai Nchi nyingi za kiafrika zina rasilimali nyingi lakini Viongozi wao hawana uthubutu wa kufanya maamuzi magumu na hawana maono kama ya Rais Magufuli, na kwamba hawatambui kuwa kama wanaweza kujiletea maendeleo pasipo kutegemea misaada kutoka mataifa makubwa.

View attachment 842223
Gazeti gani hilo?
 
Maprofesa wa Chuo Kikuu cha Coventry nchini Uingereza, wakiongozwa na Mkuu wa Chuo, Irene Glendinning, pamoja na Ukumbi mzima, ulizizima wakati jina la Mtanzania aitwaye Dk. John Pima lilipotajwa wakati wa Mahafali ya wahitimu wa Kozi ya Uzamivu wapatao 11 waliotoka katika Mataifa tisa duniani.
Dk. Pima ambaye alikuwa shuhuda, alieleza kuwa, baada ya jina lake kusomwa ili aende mbele kutunukiwa shahada ya Uzamivu, walipotaja tu John Pima from Tanzania, shangwe ziliibuka wakitaja Magufuli .... Magufuli ... Magufuli ... Tanzania."
Dk. Pima alieleza kuwa, baada ya mahafali, maprofesa na wahitimu wenzake walimfuata na kumuulizia habari za Rais Magufuli wanazosikia kwenye vyombo vya habari wakitaka kujua ni mtu wa namna gani? Wengi walipongeza kasi na msimamo wake wa:
  • kukusanya mapato,
  • kudhibiti matumizi ya fedha za umma,
  • kushughulikia mafisadi,
  • ununuzi wa ndege,
  • upanuzi wa bandari
  • ujenzi wa barabara za juu
  • uanzishwaji wa viwanda.
Walidai Nchi nyingi za kiafrika zina rasilimali nyingi lakini Viongozi wao hawana uthubutu wa kufanya maamuzi magumu na hawana maono kama ya Rais Magufuli, na kwamba hawatambui kuwa kama wanaweza kujiletea maendeleo pasipo kutegemea misaada kutoka mataifa makubwa.

View attachment 842223
Haya wahi haraka kachukue kasenti chako wazee wakupika mambo
 
Back
Top Bottom