chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
watanzania tukisikia unatajirika haraka basi wote tunakuja haraka utazani wakimbizi.
sio watu waliopoteza pesa kwenye forex tu hata haya mzungumzi na kujifanya wakimya.
kama betting,biashara,kilimo,kamali(casino) na n.k
Hakuna utajiri wa rahisi hata siku moja na kila sehemu kuna changamoto yake ya kusaka hiyo pesa.
kufanya forex utakiwi kichanganya na mambo mengine kama ufahamu jinsi ya kutrade.
Kutokana na tamaa zetu za kutaka kufanikiwa hapa kuna mchezo sasa nawashitua unaofanywa na wahusika fulani fulani wakijifanya wanasaidia jinsi ya kudownload pesa kwa kuuza pipsi,sijui buy hii au sell hii na yeye hakiwa motivoter wa ushawishi muingie kwenye account fulani.
makampuni ya forex yana watu wapo kwa ajili ya kuwaunguzia account zenu kwa mfumo huu:
*kuna wale wanaojifanya kutambua signal na pips.
hawa watu ni wabaya tena wamejikita sana kwenye mitandao ya kijamii ukianzia instagram wakionesha ufahali wa maisha na ukwasi mkubwa.
inakuwaje !.pale anapo kushawishi ingia trade hii na promo code au hata promo code basi yeye upatana na kampuni ili wawadanganye kuwa hapa ukiuza unapata kumbe wanawapeleka chaka na pesa zinakwenda kwao na mwisho wa siku anakula kamishine yake.
*kampuni za kutrade zisizo kuwa aminifu
kuna kampuni za kutrade zenye meta trade za uongo ambazo zina act kama zinatrade graph na kuwa umiza.
hakikisha kujua hipi kampuni ya kutrade ambayo si legit na sio scammer.
*watu wengi upenda kutumia maroboti kwa ajiri kutrade hii inaweza kukusababishia risk kubwa
*kampuni za kutrade zinatabia mnaweza kuangalia hizi sinema
sio watu waliopoteza pesa kwenye forex tu hata haya mzungumzi na kujifanya wakimya.
kama betting,biashara,kilimo,kamali(casino) na n.k
Hakuna utajiri wa rahisi hata siku moja na kila sehemu kuna changamoto yake ya kusaka hiyo pesa.
kufanya forex utakiwi kichanganya na mambo mengine kama ufahamu jinsi ya kutrade.
Kutokana na tamaa zetu za kutaka kufanikiwa hapa kuna mchezo sasa nawashitua unaofanywa na wahusika fulani fulani wakijifanya wanasaidia jinsi ya kudownload pesa kwa kuuza pipsi,sijui buy hii au sell hii na yeye hakiwa motivoter wa ushawishi muingie kwenye account fulani.
makampuni ya forex yana watu wapo kwa ajili ya kuwaunguzia account zenu kwa mfumo huu:
*kuna wale wanaojifanya kutambua signal na pips.
hawa watu ni wabaya tena wamejikita sana kwenye mitandao ya kijamii ukianzia instagram wakionesha ufahali wa maisha na ukwasi mkubwa.
inakuwaje !.pale anapo kushawishi ingia trade hii na promo code au hata promo code basi yeye upatana na kampuni ili wawadanganye kuwa hapa ukiuza unapata kumbe wanawapeleka chaka na pesa zinakwenda kwao na mwisho wa siku anakula kamishine yake.
*kampuni za kutrade zisizo kuwa aminifu
kuna kampuni za kutrade zenye meta trade za uongo ambazo zina act kama zinatrade graph na kuwa umiza.
hakikisha kujua hipi kampuni ya kutrade ambayo si legit na sio scammer.
*watu wengi upenda kutumia maroboti kwa ajiri kutrade hii inaweza kukusababishia risk kubwa
*kampuni za kutrade zinatabia mnaweza kuangalia hizi sinema