Bata ukimchunguza sana, hutoweza kumla....Unajua mkuu, husemwa kuwa market makers wana trade against their customers - wew na mim. True ecn broker husemwa anapenda customers wake washinde Na hasa anaishi kwa commission. Ukipata zaid nayeye ndo hupata, zaidi.
Sasa MM anaenda kinyume na sisi halafu yeye ndo ana i control hiyo metatrader system. Unategemea nin?
Any way concept iko katika kumpiga MM kwenye game yake. Yaani, yeye ana kila kitu ila bado umpige. Ndo hivyo
Sijachunguza zaid maana niliona kama minimum deposit ya true ecn ni kubwa sana kwangu, so I left. Ukichunguza vya kutosha utawajua tu. Tembea tembea mitandaoni
Saa hizi najipanga upya kuhangaika na akina MM.
Wako wengi wanajifanya ni true ecn lakin hamna kitu. Ni feki tu
Cha muhimu ni kupata genuine MM ambaye ni properly regulated kwenye nchi za maana. Tafuta rekodi na skendo zake. Wenzetu wazungu wanabwabwaja sana wakipigwa. Itakusaidia
Kuna kesi imewahi kufunguliwa UK dhidi ya reputable MM mmoja. Na mara ingine utasikia hata OANDA anashutumiwa kwa wrong doings. Yaani ndo hivyo. Take care
Umeongea mengi ya msingi, lakn pia umekosea mengi...
Inaonekana kwako anayemiliki genge la nyanya hana maana, na afunge tu biashara, mana dabaga tayari wana tomato sauce!!!! Yan n sawa na kusema pub zifungwe sbb kuna maduka ya jumla ya bia!
Unapotukandia sisi, na kumsifia Soros, kwamba ana miaka mingi katika game, unasahau kitu kimoja kikubwa...... Hata yeye alianziaga huku, hata yeye alimwambia mtu, "jana nimesikia kuhusu stock markets", hata yeye alikuwaga mwanafunzi, newbie...
Hakuna aliyezaliwa anajua, Labda kama Soros atakuwa wa kwanza!
Tp .22249EURO/USD sell
hited nimeamka na ya kahawaTp .22249
Siuna ona mkuu nimekupatia pesa,,mimi mwenyewe nimeamka hvyo hvyo mkuu.hited nimeamka na ya kahawa View attachment 756075
Tuseme hata blue blue za godimpare huzioni? Unataka ushuhuda upi hasa?Mkuu simkandii mtu. Ni kuwa kuna kazi ya kufanya. Ni vizuri tukipeana a be che, au sio?
Nataman kusikia ushuhuda wa mtu aliye fanikiwa tangia tujitose kwenye hii business. Au ambaye kula na kuliwa vime balance
nilikua Niki analyze nikaingia Jeff nkakuta umeshatupia nikakazia tp Eu is my pair all the timeSiuna ona mkuu nimekupatia pesa,,mimi mwenyewe nimeamka hvyo hvyo mkuu.
Sema nimechelewa kuwajulisha tena mapema.
Ok mida mida nitawapa tena.
Kula na kuliwa ni lzm,la msingi wins zako zizidi losses zako.Mkuu simkandii mtu. Ni kuwa kuna kazi ya kufanya. Ni vizuri tukipeana a be che, au sio?
Nataman kusikia ushuhuda wa mtu aliye fanikiwa tangia tujitose kwenye hii business. Au ambaye kula na kuliwa vime balance
Wazo la kwanza
Protocol yangu hua haibadiliki milele. Hahaa! Wanaonifahamu wananifahamu vizuri, hua sijibu PM ya mtu yoyote, no matter who you are. Kama ulishawahi kunitext PM kuhusu mada ninazopost na nikakujibu positively basi jua wewe ni malaika. Binafsi Naamini katika kufanya kazi in transparency, clearness and clarity. Hakuna kitu cha kuficha, kama kuna chochote weka hapa jukwaani kila mtu aone, ajifunze, aelimike na akosoe pia.
Uko sahihi sana... Sasa kama wewe wajua upande papa wanaelekea, na kila cku unaona waonewa... Why don't you swim with the sharks?Hii biashara haina tofauti na Gambling aiseeh wengi wataumia kuliko watakaonufaika, the easy money kwenye hii betting ni pesa ya training, kuuza signal,indicators na pesa za commissions kupitia IB links. kwa wale wanaojiita retail traders wengi wao ni maumivu maana wao sio movers wa market.
Haya ni maneno ya mtu aliyeshindwa alaf unaonekana umeshashindwa tayari, forex is not for everyoneHii biashara haina tofauti na Gambling aiseeh wengi wataumia kuliko watakaonufaika, the easy money kwenye hii betting ni pesa ya training, kuuza signal,indicators na pesa za commissions kupitia IB links. kwa wale wanaojiita retail traders wengi wao ni maumivu maana wao sio movers wa market.
Kwa kupata traders wengi wa sehemu tofauti tofauti, karibu katika group hili la telegram: Forex Traders TzHii kitu natamani MTU anifundishe private
hawezi pambana nao aungane nao yani katika forex usiingilie wakati wanapigana unaweza be chopped yan fyaaaaa we kuwa shabiki pale mmoja ameshinda ungana nae simple. ila mpaka uhakikishe keshashinda( Patience and confirmationUko sahihi sana... Sasa kama wewe wajua upande papa wanaelekea, na kila cku unaona waonewa... Why don't you swim with the sharks?
Unasubiri movers wafanye yao, and you move with them!!!