Forex: Biashara Haramu kwa Muislamu

Forex: Biashara Haramu kwa Muislamu

jamani zingatieni ma hili kuna pesa ambazo wale wa upande mwnigine ambao kuna vitu ni halali si halamu huwa wana toa misaada hata kwa wasio waislam haijarishi pesa ile ni ujira toka TBA, Kahaba, Forex trader nk...

ile pesa wengine huwa wanapokea.... sitaki enda mbali zaidi na kuhoji ule msaada wa Mh kwenda msikiti wa wilaya moja wapo pale pwani?

kama haya yanafanywa kwa kuto jua ni kwanini huwa hatuoji na kupokea hata halamu ile ikiwa inatoka ktk vyanzo visivyo halali
Fanya kazi
 
jamani zingatieni ma hili kuna pesa ambazo wale wa upande mwnigine ambao kuna vitu ni halali si halamu huwa wana toa misaada hata kwa wasio waislam haijarishi pesa ile ni ujira toka TBA, Kahaba, Forex trader nk...

ile pesa wengine huwa wanapokea.... sitaki enda mbali zaidi na kuhoji ule msaada wa Mh kwenda msikiti wa wilaya moja wapo pale pwani?

kama haya yanafanywa kwa kuto jua ni kwanini huwa hatuoji na kupokea hata halamu ile ikiwa inatoka ktk vyanzo visivyo halali

hii hoja muhimu sana nudge.

unajua kuwa sisi wote tuliojaaliwa na wale wa upande wa pili tunatumia huduma na bidhaa zilipatikana kwa fedha halali na haramu. vitu kama madawa ya hospitali, mabarabara, ulinzi wa nchi, polisi, maji na umeme. pamoja na kulipa wenyewe lakini vingi ya hivi vinalipiwa kutoka kodi la bia, kitimoto na vitu vingine visivyo halali. hapo mola st anaangaliaje au tufanyeje?
 
Pia gharama za uendeshaji zipo kama kwenye biashara nyingine. Utalipa maafisa mikopo, wanasheria, utanunua makaratasi, wino, utakodi jengo la biashara (kama ni bank ama ofisi tu ndogo). Zote hizo ni gharama za uendeshaji wa huo mradi, pia kwakuwa huyu anayekukopesha ana mahitaji kama kula, mavazi n.k. Yote hayo ndio yanaingia kwenye riba ama faida.

Mkuu, kwa mfano mwekezaji akajenga danguro kuuubwa, then akaajiri wafanyakazi(security, cleaning service, reception staff etc) kuhudumia danguro hilo ambao wanalipwa mishahara, posho, Health Insurance pamoja na faida zote za ajira na juu ya yote wakalipa kodi serikalini.. kwa biashara yake anaweza kupata faida au hasara, swali linakuja, je akipata hasara au faida inahalalisha uzinzi?? same thing kwenye riba, hata uipambe vipi.. Riba ni haramu na muislamu hatakiwi kujihusisha na riba kamwe.
 
jamani zingatieni ma hili kuna pesa ambazo wale wa upande mwnigine ambao kuna vitu ni halali si halamu huwa wana toa misaada hata kwa wasio waislam haijarishi pesa ile ni ujira toka TBA, Kahaba, Forex trader nk...

ile pesa wengine huwa wanapokea.... sitaki enda mbali zaidi na kuhoji ule msaada wa Mh kwenda msikiti wa wilaya moja wapo pale pwani?

kama haya yanafanywa kwa kuto jua ni kwanini huwa hatuoji na kupokea hata halamu ile ikiwa inatoka ktk vyanzo visivyo halali

Kama unajua msaada unatokana na mali ya haramu kataa usipokee.., na kwa nini uwe mtu wa kupokea misaada?? Uislamu umesisitiza kutoa sadaka sio kupokea sadaka.., Usiwe mpokeaji bali kuwa mtoaji
 
Kununua hisa za kampuni si haramu kiislamu. Sababu unakuwa mmoja wa wamiliki wa kampuni/biashara. Ila hiyo kampuni unayonunua hisa isiwe inajihusisha na biashara haramu: ( mfano pombe, kamari, hisa za mabenki zinazojihusisha na riba etc)

Mfano kununua hisa za kampuni ya Apple (NASDAQ: AAPL) sio haramu, ni halali kabisa, sababu biashara zao ni kutengeneza simu na computer. Mfano pia hisa za makampuni ya kutengeneza magari, meli, ndege, satellite communication systems, ujenzi etc zote hazina tatizo na ni halali kabisa. Epuka hisa za kampuni za kutengeneza zana za kivita, makampuni yanayokopa kwa riba, utengenezaji wa vilevi etc
Hata hizo kampuni unazozopigia debe nazo ni haram tu,Apple wanatengeneza simu watu wanaangalizia porno humo.Wananunua hisa za kampuni za ujenzi zinaenda kujenga makanisa.haram haram haram
 
Kama unajua msaada unatokana na mali ya haramu kataa usipokee.., na kwa nini uwe mtu wa kupokea misaada?? Uislamu umesisitiza kutoa sadaka sio kupokea sadaka.., Usiwe mpokeaji bali kuwa mtoaji
Na imam azipeleke wapi au yeye sio muislam?
 
Mtoa mada binafsi sijakuelewa hebu jaribu kuelezea kinaga ubaga ili udhihirishe uharam wa forex,
ww unasema tu kuna riba husemi ki vp riba inakuwepo?? kwa sabab mtu anafanya currency speculations na muda huo yu radhi kupoteza au kupata. mfano mtu anunue gunia la viazi mbeya ategemee akilifikisha dar itakua bei fulani bahati mbaya anaweza kuta bei iko chini au juu

pia unasema tumsikilize shekh hapo kwenye video hii haitoshi lete dalili na ushahidi kua forex haifai
Issue ya riba kwenye mikopo iko wazi ila kwenye forex sijaelewa

NB: kuna mambo ambayo ukitaka ufate sheria ni ngumu kwa nchi ambazo hazifati mfumo wa kiislaam mfano hata ukichunguza mshara anaolipwa mtu ( mwalim, daktari nk) chanzo cha malipo kinajulikana kua ni ukisanyaji wa mapato kutoka kwenye sekta ambazo haziruhusiwi kisheria
 
Yes, waepuke



Sio kweli.. hivi mfano wewe umenunua bidhaa kwa Tsh 100,000/= ukaenda kuuza kwa Tsh 250,000/= , faida yako ni Tsh 150,000/=, riba iko wapi hapo? riba ni kukopa Tsh 100,000/= ukaambiwa urudishe Tsh 250,000/=
Huoni kama utakua umedhulumu bidhaa ya 100000 umuuzie mtu kwa 250000
 
mimini muislam il sikubaliani na ww yaan kila kitu niharam na hizi ilm zenu uchwara
haki mchawi wa cc waislam ni nyie mashehe uchwara
Weka aya acha mbwembwe
Ushaunguza a/c sasa unakuja kudanganya hapa weka aya
 
Dini haijawahi kumpeleka Binadamu mbele hata siku moja sana sana itadumaza akili yako, Hii technology iliyopo sasa bila watu kuvua miavuli ya dini tusingekuwa hapa kabisa, Tuacheni Uzwazwa mana hata hao walio ileta hawawi wajinga kama sisi tuliopokea
Hawa waislamu wanaoishi dunia ya tatu ni wapuuzi sana(baadhi lakini akiwemo mleta mada) wana complications za ajabu kiasi kwamba hata ambao wamewaletea sheria za hiyo dini yao huwa wanawashangaa na kuwaona ni kama visiki tu wasivyojua dunia inaenda wapi. Kwa tasfiri fupi tu huyu jamaa ana twambia technology inapingana na dini yake!.

Anaongelea riba na speculation kama vitu haramu kwa muislamu yeyote kujihusisha navyo, anasahau kwamba hata serikali yake yenyewe tu inafanya speculation kwenye upangaji wa bajeti, anasahau kwamba hata wao wenyewe kuandama kwa mwezi huwa wana speculate.

Anatwambia forex ni haramu wakati cha kustahajabisha huko Dubai kwenye waislamu wenyewe ndio wamejaa ma forex traders kibao tu, yaani hawa waislamu wa bongo pasua kichwa wanasemaga eti hata mpira ni haramu wakati mataifa yaliyoshika dini ya kiislamu hapa afrika kama Egypt,Algeria,Tunisia ndio yanayofanya vizuri kimpira. Hawa macomplicator kama huyu mleta mada ni wakupuuza kabisa
 
Sio kweli, mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu hapa Tanzania haina riba. Tofautisha riba (faida ya kukopesha vitu vinavyolingana e.g dhahabu kwa dhahabu au pesa kwa pesa ) na inflation (kupungua thamani kwa pesa ya nchi against time), hivi ni vitu viwili tofauti.

Mikopo ya HESLB inajumuisha na inflation kwa kipindi husika, haina riba. Hii ni according to mkurugenzi mkuu wa HESLB.
Hili suala la riba bado ni controversial. Chuo nilisoma somo la Islamic banking humo ndani Kuna kitabu kimoja nilisoma (sikumbuki author) alisema riba ingawa inqawa inapingwa katika Quran lakini inaweza isiwe riba as riba bali inaweza kuwa kupanda n kushuka kwa thamani ya pesa. Na jamaa alitoa argument zake zikaeleweka.
My take. Ingawa riba ni haramu lakini kwa Dunia ya sasa haikwepeki.
 
Hawa waislamu wanaoishi dunia ya tatu ni wapuuzi sana(baadhi lakini akiwemo mleta mada) wana complications za ajabu kiasi kwamba hata ambao wamewaletea sheria za hiyo dini yao huwa wanawashangaa na kuwaona ni kama visiki tu wasivyojua dunia inaenda wapi. Kwa tasfiri fupi tu huyu jamaa ana twambia technology inapingana na dini yake!.

Anaongelea riba na speculation kama vitu haramu kwa muislamu yeyote kujihusisha navyo, anasahau kwamba hata serikali yake yenyewe tu inafanya speculation kwenye upangaji wa bajeti, anasahau kwamba hata wao wenyewe kuandama kwa mwezi huwa wana speculate.

Anatwambia forex ni haramu wakati cha kustahajabisha huko Dubai kwenye waislamu wenyewe ndio wamejaa ma forex traders kibao tu, yaani hawa waislamu wa bongo pasua kichwa wanasemaga eti hata mpira ni haramu wakati mataifa yaliyoshika dini ya kiislamu hapa afrika kama Egypt,Algeria,Tunisia ndio yanayofanya vizuri kimpira. Hawa macomplicator kama huyu mleta mada ni wakupuuza kabisa
Kwa hiyo unataka kutuambia kwamba,kwakuwa wazungubwaliokuleteeni ukristo wanafanya vizuri kwenye mambo ya "sodoma na gomora" hivyo imekuwa halali kwenu kuoana?
 
Back
Top Bottom