Forex: Biashara Haramu kwa Muislamu

Forex: Biashara Haramu kwa Muislamu

Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.

JISAJILI SASA
Usisite kuomba msaada

TemplerFX | Promo
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.

JISAJILI SASA
Usisite kuomba msaada

TemplerFX | Promo
 
Tz sio nchi ya watu wake kufanya biashara hii isiyo na tija kwa taifa... We must invest in Goods production sio Huduma zaidi... Kama ni Huduma ziwe ni zile zenye kupush na kuaccelarate uzalishaji bidhaa...
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

TemplerFX | Promo
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

TemplerFX | Promo
 
Kwa wale wanaohitaj bonus za kuanza kutrade ni pm nitakudirect namna ya kupata ni rahic n wala hauhitaj kudeposit ili uweze kutoa faida yako....ukiishapata faida unatoa hela yako kiulaini kabisa..unaweza kuitumia kwa matumizi yako au kutransfer to another trading account...
 
Hili swali mbona limeshajibiwa kwenye comments za mwanzoni..

labda nirudie kama ifuatavyo kwa faida ya wale "wavivu" ama wasio na muda wa kusoma comments:

Nilijibu hivi;

Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu hapa Tanzania haina riba. Tofautisha riba (faida ya kukopesha vitu vinavyolingana e.g dhahabu kwa dhahabu au pesa kwa pesa ) na inflation (kupungua thamani kwa pesa ya nchi against time), hivi ni vitu viwili tofauti.

Mikopo ya HESLB inajumuisha na inflation kwa kipindi husika, haina riba. Hii ni according to mkurugenzi mkuu wa HESLB.
HESLB wanatoza riba na value retention fee, kwa hiyo kusema mikopo haina riba sio sahihi.


HESLB hawakutozi riba maana wao sio wafanyabiashara. Wewe unalipa pesa nyingi kuliko ulizokopeshwa kwa sababu thamani ya pesa "ndogo" uliyokopeshwa kipindi unasoma ni sawa sawa kimanunuzi na pesa "nyingi" unayolipa sasa. Thamani ya manunuzi ni ile ile.

Kama HESLB wanatoza riba je kwenye mkataba uliosaini walisema watakutoza riba kiasi(percentage) gani??
 
Niliwauliza wenyewe wakaniambia ni riba ile sasa sijui nikuelewe wewe au wao

riba haiwi riba kwa kuwa mtu fulani kasema ni riba..

riba kwa mujibu wa uislamu inakuwa riba endapo ikipitiwa na kanuni za kuifanya iwe riba..

na haitakuwa kuwa riba kama kanuni za riba hazijakamilika hata kama itapewa jina la riba...

nikupe mfano tu.. ukiishiwa salio tigo wanakuambia bonyeza moja then wanakupa mda wamaongezi ila ule mda wa maongezo wewe utaulipa kwa pesa..hiyo sio riba japo wao wanaiita riba.
 
mwisho wa siku mtasema kutumia JF kwa muislamu ni dhambi.

endapo ikipitiwa na vigezo vya kuwa haramu itakuwa haramu na ukiiendea utapata dhami.

kwani kuna forum ngapi zinazohamasisha ukiukwaji wa maadili??? hizo ni dhami kuzifuata..hata jamii forum ingekuwa ina lengo hilo pia ingekuwa haram na dhambi kuiendea
 
Kuna ustadh hafanyi Forex lakini anapiga kitimoto
Kwenda peponi si rahisi kama kwenda coco beach, mlimani city au sehemu nyingine....unahitaji umjue Mungu kweli kweli..
Mtu anasema forex ni haramu lakini anakula kitimoto...anazini na wake za watu..
I am still learning forex and I hope for it to be my future bussiness.
 
Sawa ndugu zangu waislam... Vp mikopo ya vyuo vikuu maana wanadai usipoanza kulipa baada ya mwaka mmoja tuuu unavyo maliza chuo kuna kariba pale kanapenyezwa... Na ukichelewa zaidi wana double.. Je! Mikopo nayo ya vyuo vikuu ndugu zangu waislam tuiache?
Hilo nalo neno.....watu na dini zao bwana....
nawasihi waisome dini vizuri...dini ya warabu hiyo ililetwa na majahazi
 
Mkuu riba ni riba tu iwe direct au indirect. Kupitia mikopo, pale huwa kuna riba ya moja kwa moja, na kupitia biashara kuna riba iliyobatizwa jina la faida ambayo ni indirect interest.
Hawa ndugu zangu huwa siwaelewi....katika misingi ya biashara,hakuna biashara halali duniani coz kila biashara ina kitu kinaitwa ulanguzi ili upate faida kwa mfano unanunua bidhaa 1,000/ na unaiuza 1,200/ faida hapo ni 200 ambyo ndiyo ulanguzi wenyewe....
Unataka kuniambia nyie waislamu hamna maduka ya kuuza sukari,chumvi,mafuta nk....

Bado sijaelewa uharamu wa forex uko wapi...
dini dini dini dini dini dni
 
Hawa ndugu zangu huwa siwaelewi....katika misingi ya biashara,hakuna biashara halali duniani coz kila biashara ina kitu kinaitwa ulanguzi ili upate faida kwa mfano unanunua bidhaa 1,000/ na unaiuza 1,200/ faida hapo ni 200 ambyo ndiyo ulanguzi wenyewe....

ungeweka hisia za udini pembeni na ukakusudia kuchukua ujuzi wa hiki kitu kwa watu wa imani husika...wangepatia..aya inayoharamisha riba inasema wazi kabisa..mwenyezimungu amehalalisha faida ya biashara na kuharamisha riba..so kuna tofauti kubwa ya riba na faida ya bishara ndugu yangu..hivi vitu ni vyakukaa chini na kukusudia kujifunza haaswa..
 
Rudi shule hauna maelezo ya kutosha ambayo Yana haramisha forex trading, kiifupi umekalili sanaa hakuna unachojua.
 
Asante kwa nyuzi hii nzuri japo nimeipikea taarifa kwa majonzi makubwa maana nilishaanza kupata mwaka wa kutosha kupiga pesa kupitia hii biashara baada ya kusoma kwa muda wa miezi mitatu ya likuzo yangu ya form six mwaka huu, na nilipanga niifanye nikiwa chuo anyway pepo muhimu.
 
Sawa msomi, acha niendelee kukalili
Waache hao sheikh, watu wanahalalisha vilifyoharamishwa na Allah.Na haramisha vilivyohalalishwa na Allah.Kwani umetoa darasa murua kabisa ingekua nzuri uko forum ya nairaland ya naijeria wamezuia kufanya biashara hii au kuitangaza kwenye forum yao,Ukijulikana wanakupa BAN ya maisha vingine walivyokataza kwenye forum hiyo kupost pamoja na binary, crypocurrency na vinginevyo vingi vihusuvyo kama forex.
 
Yan nyie jamaa tangu mseme kitimoto ni haram imani yangu kwenu ikapotea, hamjui utam wa nyama ile pemben ukiwa na limao huku ukishushia na pepsi diet
 
Back
Top Bottom