Forex: Biashara Haramu kwa Muislamu

Forex: Biashara Haramu kwa Muislamu

Ndio maana Waarabu wameachwa weupe wenzao kimaendeleo kwa sababu ya kukabithi akili zao kwenye dini
 
Mkuu mbn jazba badala ya kuibua au kujibu hoja!
Habr ya ukristo c dini inakujaje hapa, lkn we unaonaje!? Ukristo Ina maana mpk Leo we hujui km no jina LA MTU na siyo dini! Nioneshe wapi kwenye biblia ukristo umeelezwa kama dini!?
Uislamu ni Dini sababu imeelezwa kwenye Qur an 3:19.
Argue don't shout!
Mpumbavu mwngne n uyu apa!! Et wap ilipoandikwa ukristo n dini!!
Wapi wameandika FOREX NI HARAM.
maana il maisha yaenda lazma ziandikwe katka vitabu vitakatfu sio??

Unajua ata kesho ukiwaulza wazungu moja katka ya mafanikio makubwa walio yapata atakuambia n kuwatawala waafrika kwa mfumo wa dini
Baada ya resistance kuwa kuwa plan B ilikua dini, na hawakutemea kama itakua itawafanya wajnga kias hik,
Waislam wanasafar ndefu sana, wana falsafa za ajabu sana. Wanakuambia riba n haram Aya hyo mikopo wanaomba wakristo peke yako???
Sku waislam mtakapo jielewe hakika ntafanya vng vya maana.
 
Sure,hata mimi kupitia mitandao mbalimbali nilijaribu kulifuatilia swala hili kwa mtazamo wa kidini ya kiislam nikaja kugundua kuwa haifai kwa muislam......ni kweli mtoa mada kwamba hii issue ni haram muislam kuifanya.swadakta mkuu.
Haifai kwa Muislam inafaa kwa nani?
 
Ndio maana Waarabu wameachwa weupe wenzao kimaendeleo kwa sababu ya kukabithi akili zao kwenye dini
We kweli nkobe maeendeleo unayesema yepi ulikwisha fika uarabuni? au ndiowalewale wakutungiwa nyimbo
Sasa hivi waarabu wananunua timu za mipira ulaya, wanakituo kikubwa cha biashara kimataifa ulimwenguni
kipi ambacho waarabu wapo yuma kimaendeleo kulinganisha nahapo unapokunguta godoro lako kulala
 
Mpumbavu mwngne n uyu apa!! Et wap ilipoandikwa ukristo n dini!!
Wapi wameandika FOREX NI HARAM.
maana il maisha yaenda lazma ziandikwe katka vitabu vitakatfu sio??

Unajua ata kesho ukiwaulza wazungu moja katka ya mafanikio makubwa walio yapata atakuambia n kuwatawala waafrika kwa mfumo wa dini
Baada ya resistance kuwa kuwa plan B ilikua dini, na hawakutemea kama itakua itawafanya wajnga kias hik,
Waislam wanasafar ndefu sana, wana falsafa za ajabu sana. Wanakuambia riba n haram Aya hyo mikopo wanaomba wakristo peke yako???
Sku waislam mtakapo jielewe hakika ntafanya vng vya maana.

Hebu jaribu kutowa uzuzu kidogo ufanye hesabu ndogo ya idadi ya matajiri kati ya wakristo na waislam hapa nchini mwako, halafu ndio utagunduwa waislam wanajielewa au hawajieliwi wamefanya vitu vikubwa au hawajafanya,
 
Hapa utabaki wewe tu. Siwezi kuacha forex sababu ya upuuzi huu uliouleta hapa. Yaani dini yetu tunaroho mbaya sana, suala lolote lenye mafanikio ni haramu ndo tunaishia kwenye migogoro kama wenzetu Middle East

Wajinga ndio waliwao..
 
Join the Most trustworthy broker!!!
Templerfx!!!!
- Easy to Deposit your investment capital by Mobile Money Transfer (M-Pesa, Airtel Money) Just less than an hour, your account will be funded.
- Easy to withdraw you money(M-Pesa, Airtel Money) less than an hour your money will be in your phone ready to get from WAKALA!!
-Quick and Easy customer services.

Very Easy to join!!!
Click on the link below open account
TemplerFX | Promo

Kwa wale Wa forex templerfx ni broker mzuri sana kwa mazingira yetu ya bongo , ni rahisi kujisajili lakini pia njia za kutuma na kupokea Pesa yako ni rahisi mno!

Minimum deposit ni $1=Tsh2,240 tu
 
Hukusoma Terms and Conditions wakati unasaini mikataba?? mikataba imefafanua kila kitu, ni ajabu hujui kwamba hakuna riba. Au ulisaini bila kusoma? Ukaja kuulizia baadae.
Wacha kudanganya umma hapa. Uislam unasema ukikopa leo elfu 3 ukinilipa mwakani unilipe elfu 5? Hiyo ni nini kama sio riba? Eti thamani ye pesa ya zamani na sasa....mimi nimesoma hizo time value of money....hii ipo katika investment. Kwa hiyo wao wakinipa hela leo ina maana wameinvest kwangu ntawalipa nikimaliza chuo niwalipe na cha juu ina maana hiyo ni riba tu. Ukibadilisha jina unadhani ndio haiitwi riba?
 
Umenunua share za kampuni ya ujenzi...halali....kampuni inaenda kukopa pesa bank kwa riba (haramu)kisha wewe unilipwa dividend na thamani ya share zako zinapanda.
 
Uelewa wako mdogo.. soma mada vizuri ili upate kuelewa sawa sawa. Kwa kukusaidia soma section "Muhimu" kwenye uzi. Na ukitaka kuelewa zaidi angalia hiyo video maana ni wazi kabisa hata hujui ninachokiongelea.




teh teh teh..Aisee 😀... Unanipa lecture ya forex wakati nimekwambia nimetrade forex tokea 2010/2011.., kipindi hicho napiga "pips" nina uhakika hata neno forex ulikuwa hujui nini maana yake.

ANGALIZO
Watu tusipende kujifanya tunajua vitu tusivyojua, ni bora kukaa kimya kuliko kuongea vitu tusivyovielewa vizuri.. tunajidhalilisha bure na kuonekana mbumbumbu mbele za wanaojua, tusiComment ili mradi tuonekane tumeComment.
Mbona unaelekeza kwenye kideo?. Sisi ni waswahili tena watanganyika, wew hicho kideo kifafanue tukielewe wote kama umedhamilia kuelimisha
 
Kuna Watu Wamesoma,jamani Yaani Mtu Kasoma Elimu Ya Dunia Na Akhera Haaa Ee Mungu Nifanye Na Mimi Niwe Miongoni Mwao,nisome Duniani Na Akhera
 
Hivi duh mtu kama huyu huwa anajielewa kwel,watu wapo na dini yao we inakuuma,shida nn mzee,
 
Hivi kweli kuna biashara ambayo haina riba, faida unapataje bila riba.
 
Hata shule yako ya elimu dunia inaonekana bdo mdogo,mtiririko wa maandish yako unaonyesha uwezo wa darasa la saba au form two failure miaka hiyo,,hata ukiwekewa hiyo aya cdhan km utaamin,rudi shule kwanza utaelewa mtiririko wa mawazo ya mtoa mada
 
Hata shule yako ya elimu dunia inaonekana bdo mdogo,mtiririko wa maandish yako unaonyesha uwezo wa darasa la saba au form two failure miaka hiyo,,hata ukiwekewa hiyo aya cdhan km utaamin,rudi shule kwanza utaelewa mtiririko wa mawazo ya mtoa mada
We Pablo unamuambia nani hayo?ingependeza ungemtaja au ungemquote
 
Hata nyama ya ngamia ni kharam. Halafu waislam kibao wanafanya kazi benki. Nao waondishwe?
 
Back
Top Bottom