Forensic DNA database

Forensic DNA database

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,232
Reaction score
137,640
Hivi vyombo vya usalama vya Tanzania huwa vinachukua na kuhifadhi DNA za wahalifu?

Hivi huwa hata wanajaribu kuchukua DNA [pale inapowezekana] kwenye eneo la tukio la uhalifu?
 
unamaanisha fingerprints? nadhani kwanza inatakiwa kuwe na data base ndio kwenye matukio kuwe kunachukuliwa hizo fingerprints, vinginevyo ni kazi bure. Ila huu mchakato wa vitambulisho vya taifa ndio utawezesha kuwepo kwa data base! maana kila raia anaweka fingerprints zake. ila DNA sidhani kama tunaweza kwa sasa hivi! maoni yangu lakini
 
Hio bwana nyani ni kati ya project ambazo lazima nitatengeneza u stakeholder. Kwa sasa bado sana. Sababu kubwa ni elimu ya ku run hio system maana inahitaji trained scientists ambao hapa bongo unawahesabu kiganjani.
 
unamaanisha fingerprints? nadhani kwanza inatakiwa kuwe na data base ndio kwenye matukio kuwe kunachukuliwa hizo fingerprints, vinginevyo ni kazi bure. Ila huu mchakato wa vitambulisho vya taifa ndio utawezesha kuwepo kwa data base! maana kila raia anaweka fingerprints zake. ila DNA sidhani kama tunaweza kwa sasa hivi! maoni yangu lakini

Nazungumzia DNA bana, na siyo alama za vidole.
 
Nazungumzia DNA bana, na siyo alama za vidole.

To be honest bado sana kaka ingawa wakiamua inawezekana ,jeshi letu la polisi kwa upande wa technology specially forensic technology wapo nyuma Ila kulingana name mazingira ya uharifu ya sasa itabidi wa invest tu.
 
Sidhani kama kuna utaalamu wa kuchukua DNA za wahalifu nchini, labda uwe umeanza hivi karibuni.

Hivi vyombo vya usalama vya Tanzania huwa vinachukua na kuhifadhi DNA za wahalifu?

Hivi huwa hata wanajaribu kuchukua DNA [pale inapowezekana] kwenye eneo la tukio la uhalifu?
 
tz hakuna utalaamu huo. Lile gari la vifaa vya forensic liko tu limejaa vumbi pale central
 
hao forensic scientists wenyewe wapo basi, jeshi la polisi ni lilelile aliloliacha mkoloni, nguvu nyingi akili kidogo, kazi yao kubwa na kuhakikisha raia wanaigopa na kuitii serikali.
 
Back
Top Bottom