FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,192
Haya list nimeshaimalizia..vipi mtizamo wako kwa wanaija kuwa na wawakilishi zaidi ya 1/4
Sasa na wewe nae, pale kwenye namba 40 si ungeongezea 41 ukaweka japo na FF tu. Hukunitendea haki. Ntaandamana.