Eiyer tafadhali...
huu ni udhalilishaji mkuu if its not a joke... iam not in such the way you are thinking,..
ina maana hayo yoote yaliyotajwa na mdau mimi ndio najifanya ninayo ama? ina maana mimi ni yahaya ama vipi?
mkuu tafadhali, wewe ni paroko, you must respect your position.. aisee nimekereka ujue... umenikera sana eiyer!!
Ila humu jf ni kiboko hakuna anaye kubali kuji shusha
Ukitaka wenye ma vx wako humu..
Ukitaka wenye choppa wako humu....
Ukitaka wanao miliki kampuni wako humu...
Ukitaka wanao miliki mashimo migodini wako humu...
Ebu ona kama huyu..
"faster nimefungua kampuni yangu
"namiliki range rover na vigari vingine kadhaa.
"nimemaliza kujenga nyumba yangu ya ghorofa goba
Eiyer unaweza sema mimi nilishasema nina nini kati ya hivyo hapo juu??
please mkuu tell me that it was a joke.. otherwise tutakosana na tutaangaliana mbalimbali sana!
mkuu for sure umenichafua roho... i have never been like this in jf..