For matured men only

For matured men only

1.Kusema degree tu hakutoshi labda useme ulisomea kitu gani!?

2.Una GPA ya ngapi!?

3.Jina la shule uliyosoma primary, secondary, advance na chuo?

4. Umepimaa afya yako na hauna tatizo lolote?

5. Una fanya kazi au ni golikipa tu?

6. Umetoa mimba ngapi mpaka kufikia umri huo?

7. Ni bwawa au kisima
8. Imetembea kilometa ngapi?
9. Ina ajali (kukeketwa) au la?
 
I need a man ..am 23,degree holder,black chubby,if you are interested pm plz...
Before that,make sure you are good looking(physically,financially)above all very supportive...
Having me around wont get bored its a promise!

mimi std 7 vipi nije??
 
ukiona mtu anatafuta boyfriend kwenye mtandao basi ujue anavijitabia ambavyo sio vizuri na havikubaliki JAPOKUWA SIO WOTE.

Napenda kuwaasa wana JF kuweni makini sana na watu pindi unapotaka kudeal na mtu wa ishu kama hii.
 
1.Kusema degree tu hakutoshi labda useme ulisomea kitu gani!?

2.Una GPA ya ngapi!?

3.Jina la shule uliyosoma primary, secondary, advance na chuo?

4. Umepimaa afya yako na hauna tatizo lolote?

5. Una fanya kazi au ni golikipa tu?

6. Umetoa mimba ngapi mpaka kufikia umri huo?

Hahahahaaa Mkuu hapa uliuwa kabisa,..shenzitype anatoa details nusunusu hapa.Tupe full details tukusaidie!
 
Back
Top Bottom