Mbona sioni rangi yoyote ikitokea kwenye neno
Hello Guys.
Najua Mobile users wa JF wanamiss vitu ving sana vya uzuri wa JF. Mfano kuweka Rangi katika Maandishi ya Post yako au Thread.
SASA KAMA UNATAKA KUWEKA rangi katika Post yako kuna Njia rahisi ya kutumia bila kutumia COMPUTER.
TUANZE.
HEBU TUWEKE RANGI NYEKUNDU
1. Kama umeandika Maneno yako mfano Neno MOBILE
Tutatumia code hizi mbili
1.[COLOR=[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=FF0000]#FF0000[/URL] ]
2.[/COLOR ]
U
siweke Space yoyote ile mi nimeweka ili zionekane tu hizi Code
OKAY
Sasa Mwanzo mwa neno MOBILE yaani Nyuma ya herufi M weka code hiyo ya kwanza halafu mwisho mwa neno MOBILE yaani mbele ya herufi E weka code hiyo ya Pili. Its DONE.
[COLOR=[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=FF0000]#FF0000[/URL] ]MOBILE[/COLOR ]
Au hivi [COLOR=red ]MOBILE [/COLOR ]
[COLOR=[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=FF0000]#FF0000[/URL] ]
MOBILE[/COLOR]
KWA CODE ZINGINE HIZI HAPA#000000 black
#FFFFFF white
#FF0000 red
#008000 green
#0000FF blue
#FFFF00 yellow
#808080 gray
#800080 purple
#00FF00 lime
#00FFFF aqua
#FF00FF fuchsia
#800000 maroon
#000080 navy
#808000 olive
#C0C0C0 silver
#008080 teal
#EE82EE violet
NOTE:
unaweza kuweka Code number au Jina la Rangi kama hapo juu yalivyoorodheshwa
Halafu Unamalizia kwa code ya pili. THANKS GUYS
[COLOR=[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=FF0000]#FF0000[/URL] ]UPDATE[/COLOR]
KUPIGIA MANENO MSTARI
[U ] MSTARI [/U ]
Toa au rudisha hizo space and u're done
MSTARI
KUWEKA SMILEYToa au rudisha hizo space and u're done
1 :do h: :doh:
2 :win k: :wink:
3 :bathbab y: :bathbaby:
4 :embarrasse d: :embarrassed:
5 :coffe e: :coffee:
6 opcor n: opcorn:
7 :mwaaa h: :mwaaah:
8 :flypi g: :flypig:
9 :range r: :ranger:
10 :israe l: :israel:
11 :lo l: :lol:
12 :tongu e: :tongue:
13 :wink 2: :wink2:
14 ee p: eep:
15 :gossi p: :gossip:
16 :smas h: :smash:
17 :evi l: :evil:
18 o a: oa
19 :focu s: :focus:
20 :y o: :yo:
MORE TO COME.
HERUFI KUBWA
Kama Unataka Kuweka Herufi Kubwa. Basi Fanya hivi...
andika maneno yako Mfano JF MOBILE. Sasa mwanzoni weka code hii [size=15 ] na Mwishoni weka Code hii [/size ]Usiruke space kama mimi.. And its DONE. Hiyo 15 unaweza kuibadili kulingana na size unayotaka.
JF MOBILE oooh Niiice
KUWEKA NENO [COLOR=[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=FF0000]#FF0000[/URL] ]CLICK HERE au KUWEKA[COLOR=[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=FF0000]#FF0000[/URL] ] LINK[/COLOR][/COLOR]
Ni Ngumu kidogo.but lets try
[ url=www.jamiiforums.com] CLICK HERE [/url]
Hapo nilipoandika jamiiforums unaweza kuweka web address yoyote ile. Ila kumbuka kutoruka space.
KUWEKA PICHA
Kama unataka kuweka Picha JF maana kwenye Attachment wengi panawashinda.. Fuata Maelezo Yafuatayo utafanikiwa bila matatizo..
Changamoto ya njia hi ni kuwa hutoweza kupakua kutoka kwenye Simu yako........:doh: Oooops
OKAY TWENDE MOJA KWA MOJA.
1. Tafuta Picha yoyote kwenye internet au blogs/Google au source nyingine yoyote au ukipenda humu humu JF
2. Kama Unatumia OPERAMINI au UC BROWSER nenda kwenye ile Picha halafu Bonyeza OPEN IMAGE
3. Ukisha open image yako nenda pale juu ya Address ya image halafu COPY
4. Ukisha-COPY sasa unapoanzisha Thread au unapo-post Comment fanya hivi.
- Katika Post/thread anza nabila kuruka Nafasi. ...Tafadhali usisahau kuweka http://
HALAFU SUBMIT....
JUST LIKE THIS
MENTION SOMEONE
JE UNATAKA KUMTAJA MTU KWENYE COMMENT AU POST YAKO..AMBAPO MTU MWINGINE ANAWEZA KUCLICK JINA HILO NA KUONA PROFILE YAKE N.K
NI RAHISI SANA...JUST ANDIKA COMMENT YAKO HALAFU INAPOFIKA SEHEMU YA KUMTAJA WEKA HII ALAMA YA AT (@) UKIFATIA NA JINA LAKE
KAMA HIVI @ RGforever
usiruke nafasi kati ya @ na jina
RGforever