MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
- Thread starter
- #101
LOL usijali ninayemfahamu ni wahapa jamvini (socially constructed) ndo nikamwekea hizo standards, na hilo la tabia mbaya nilikuwa na maana anaeza kukutongoza, sasa nimesikia eti na hapa kuna watoto wanachunguliaga ndo nikajaribu kweka 'tafsida'...lakini naona umenipata
Nimekupata ndugu yangu.
Phweeee afadhali maana nilijua ohooooo ndo nshajichoresha kumbe kuna mtu anayenijua behing the screen dah almanusra nikose usingizi kwa kuwaza.
Thanx pal