Kisoda James
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 1,114
- 812
Infantry Soldier mdogo wangu Africa is a crucial partner katika dunia hii tena saaana tu
Yes. You're right brother. Everything is possible under the sun.Africa tunayoitaka I like ur comment boss,inawezekana.
Kaka mkubwa, mbona political conflicts haziishi hapa africa kwetu?Infantry Soldier mdogo wangu Africa is a crucial partner katika dunia hii tena saaana tu
Ni nani huyo anayewavutia timing jirani zetu wa Rwanda?Mkuu umemaliza kabisa. Hata Rwanda wameanza kuivutia timing!
sawa mkuu@Afrika niitakayo ni ile itakayo kuwa na serikali zitakazo anzisha Vitivo vya Sayansi za Kilimo, Afya, Ufundi na Uvumbuzi mwengine na kuviwezesha kifedha na kiutaalamu ili wanasayansi wetu wafanye Research kwa Maliasili zetu, Miti yetu, na Mbegu zetu tulizonazo Afrika.
Itawezekana kama kutakuwa na nia ya waafrika wenyeweAfrica tunayoitaka I like ur comment boss,inawezekana.
I see...Serikali ya aina hiyo itakapokuja na kufanya mambo hayo, Mimi Naahidi Nitaiunga mkono na Kuifia kwa kuihami na kuipigia debe.
Umefafanua vizuriAfrica was never a dark continent its illusion from white thugs.
Timbuktu was first world university.
Ganges was Ethiopian general who ruled India.
Old Egypt ilikuwa kimbilio la watu wa mataifa
Africa ilikumbwa na majanga makubwa tu,hadi kutawaliwa na hao wapishi wa mchemsho.
Lakini historia hizi fupi fupi za kutawaliwa na wazungu hazina sifa kubwa kutuita dark continent.
Hata Uingereza ilitawaliwa na Greeks miaka 500 lakini likarudi kuwa Taifa kubwa.
China alikuwa maarufu,ukapotea,akatawaliwa,lakini sasa kurudi kwa speed ya radi.Wazungu nao wameisha anza kuonja joto la urofa, hawana tena viwanda kama enzi za mababu zao,wameishafulia.
Miaka 200 ijayo Africa itarudi kwenye kiti.
Hakika utakuwa umefanya jambo la maana sana...Serikali ya aina hiyo itakapokuja na kufanya mambo hayo, Mimi Naahidi Nitaiunga mkono na Kuifia kwa kuihami na kuipigia debe.
What strategies do you (Kingfisher) have to help your fellow Affricans to realize their full potentials?It’s still a dark one unless we are going to realize our potential as Africans
I can seeIt’s still a dark one unless we are going to realize our potential as Africans
Sawa...Hatuwezi kupingana na ukweli kwamba Africa bado ni bara la giza.
Sasa mbona sielewe vizuri kingreza chako?It’s still a dark one unless we are going to realize our potential as Africans
Hii inasikitisha sana mkuu...tuna maliasili nyingi lakini, pamoja rasilimali zote tulizonazo bado kuna kina mama wajawazito wanafariki kutokana na huduma mbovu za afya, bado kuna watu wanakufa kwa njaa, miundombinu yetu bado ni mibovu.
Jiunge na CCM mkuu achana na hao akina ZittoIt’s still a dark one unless we are going to realize our potential as Africans
Vp nikija huko ccm?Jiunge na CCM mkuu achana na hao akina Zitto