sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,131
- 4,249
Africa was never a dark continent its illusion from white thugs.
Timbuktu was first world university.
Ganges was Ethiopian general who ruled India.
Old Egypt ilikuwa kimbilio la watu wa mataifa
Africa ilikumbwa na majanga makubwa tu,hadi kutawaliwa na hao wapishi wa mchemsho.
Lakini historia hizi fupi fupi za kutawaliwa na wazungu hazina sifa kubwa kutuita dark continent.
Hata Uingereza ilitawaliwa na Greeks miaka 500 lakini likarudi kuwa Taifa kubwa.
China alikuwa maarufu,ukapotea,akatawaliwa,lakini sasa kurudi kwa speed ya radi.Wazungu nao wameisha anza kuonja joto la urofa, hawana tena viwanda kama enzi za mababu zao,wameishafulia.
Miaka 200 ijayo Africa itarudi kwenye kiti.
Timbuktu was first world university.
Ganges was Ethiopian general who ruled India.
Old Egypt ilikuwa kimbilio la watu wa mataifa
Africa ilikumbwa na majanga makubwa tu,hadi kutawaliwa na hao wapishi wa mchemsho.
Lakini historia hizi fupi fupi za kutawaliwa na wazungu hazina sifa kubwa kutuita dark continent.
Hata Uingereza ilitawaliwa na Greeks miaka 500 lakini likarudi kuwa Taifa kubwa.
China alikuwa maarufu,ukapotea,akatawaliwa,lakini sasa kurudi kwa speed ya radi.Wazungu nao wameisha anza kuonja joto la urofa, hawana tena viwanda kama enzi za mababu zao,wameishafulia.
Miaka 200 ijayo Africa itarudi kwenye kiti.