For all singles out there (valentine humorous)

For all singles out there (valentine humorous)

Doooh usifanye hivyo maana mpaka hiyo mwakani nitakuwa nishaingia wodi zote za muhimbili milembe,wagonjwa mahututi...maana sio kwa kuchkzika nitakavyochizikaaa....
Hahaha nautizama moyo wako ,nagundua u aina ya mwanamke mwenye mapenzi ambayo ndani yake nilazima MTU ajihisi mwenye Bahati na alobarikiwa !!.

Wala sitokaa Nikufanye Ulie ,wala kuumwa ,wala kuchizika ,, kila siku nitakua naangalia mapya na kuitazama baadae yetu katika bahari ya Furaha ,Amani nakila aina ya Surprise
 
Hahaha nautizama moyo wako ,nagundua u aina ya mwanamke mwenye mapenzi ambayo ndani yake nilazima MTU ajihisi mwenye Bahati na alobarikiwa !!.

Wala sitokaa Nikufanye Ulie ,wala kuumwa ,wala kuchizika ,, kila siku nitakua naangalia mapya na kuitazama baadae yetu katika bahari ya Furaha ,Amani nakila aina ya Surprise
Thank you.

Hujawahi kuniangusha na nazani haitatokea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom