For all singles out there (valentine humorous)

For all singles out there (valentine humorous)

Bahati nzuri ananijua fujo zangu..
Yahni tukilala tulale wote tukiangalia TV tuangalie wote...

Mm sipo tayari kuangalie TV yeye alale kama kachoka sana huo muda wa kuangalia TV ni bora nimkande kande hivi kumuondolea uchovu.
Keanza atakuwa amecheza chini ya kiwango
 
Mayoooooo Mima white cute ,mbn Mimi niwaziwan huko Victoria kwahaya mambo mmmmhhh ndo maana nakumisimo.

Inabidi nisilim niwe Sheikh
ha ha has silimu tu uwe shehe maana hakuna namna .
Sasa tukitoka ww una kanzu na balakhashia.
Mm kama kawaida yangu buibui mpaka miguuni bila kusahau na ushungi wa kiharat yahni.
 
Nimerudi kusoma huko juu nimecheka mno..hahaa haaaa hatariii eti ukichelewa kujibu message tu MTU anachukulia advantage.Haaa na hapo ananuna mpaka tar 16 ndio unasamehewa maisha yanaendelea hatariiiiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom