Livanga
JF-Expert Member
- Apr 15, 2010
- 475
- 156
Fools day ni siku katika siku ninazozichukia sana hasa kwa wale ambao hawajui jinsi ya kuitumia. Siku itumie kudanganyana nyinyi wenyewe yaani mtu kwa mtu na sio kuliambia taifa swala la msingi katika hali ya uwongo. kwa kufanya ivyo unawasababishia wananchi wengi wasioijua siku iyo kuwa katika wakati mgumu kutokana nakile utakachokuwa umesema. Please great thinkers be the example to the rest by using this day wisely
KUWA MFIRIFU YAKINIFU KWA KUTOKUTUMIA MAMBO MUHIMU KATIKA HALI YA KUDANGANYA SIKU HII
KUWA MFIRIFU YAKINIFU KWA KUTOKUTUMIA MAMBO MUHIMU KATIKA HALI YA KUDANGANYA SIKU HII