Font App gani ni nzuri kwa simu yangu?

Font App gani ni nzuri kwa simu yangu?

KIOO

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
6,249
Reaction score
5,962
Habari zenu wakuu.

Ama baada ya salaam.................naombeni msaada kama mada inavyojieleza hapo juu wakubwa kuhusu app nzuri ya fonts kwa simu yangu wadau.

Simu niliyonayo hapa ni HUAWEI Y520 -U22 (KISHKWAMBI) 4.4.2 nilijaribu ku-download app moja kutoka Playstore inaitwa iFont lakini baada ya ku-install ikanitaka ni-root simu yangu sikutaka kufanya hivyo kwa kweli nikasema nije jukwaani kwanza.

Natanguliza shukran kwenu,thanks.
 
zote zinataka root-permission kwa hyo root tu.
 
Habari zenu wakuu.

Ama baada ya salaam.................naombeni msaada kama mada inavyojieleza hapo juu wakubwa kuhusu app nzuri ya fonts kwa simu yangu wadau.

Simu niliyonayo hapa ni HUAWEI Y520 -U22 (KISHKWAMBI) 4.4.2 nilijaribu ku-download app moja kutoka Playstore inaitwa iFont lakini baada ya ku-install ikanitaka ni-root simu yangu sikutaka kufanya hivyo kwa kweli nikasema nije jukwaani kwanza.

Natanguliza shukran kwenu,thanks.

Kwenye ifont kuna modes mbalimbali ambazo unatakiwa uzichague kutokana na simu yako. Mfano Kuna Samsung mode (Touchwiz), kuna Huawei Mode (EmotionUI) n.k. Si lazima ufanye rooting ndiyo ubadili font kwa simu za huawei.
 
zote zinataka root-permission kwa hyo root tu.


Mkuu hapana aisee siwezi ku-root simu yangu kiongozi inaweza ikaleta tatizo ambalo likafanya hata nijute kwa nini nimei-root eti kisa fonts tu.

Ku-root aisee hapana mkuu kama hakuna njia nyingine ni bora tu nikaa na hii font iliyopo tu kiongozi...!.

Shukran.
 
Kwenye ifont kuna modes mbalimbali ambazo unatakiwa uzichague kutokana na simu yako. Mfano Kuna Samsung mode (Touchwiz), kuna Huawei Mode (EmotionUI) n.k. Si lazima ufanye rooting ndiyo ubadili font kwa simu za huawei.


Mkuu nashkuru kwa mchango wako kiongozi lakini ni sehem gani nafanya hizo setting ndugu yangu coz sioni hapo pa kufanya hiyo interface Emotion unaweza kunipatia muongozo walau...?.

Shukran sana mkuu.
 
Wakuu nna startimes(planet note) ni aina ip ya font naweza kutumia ambayo haihitaj kuroot cm yng, nnayo app ya ifont ila cjajua font gan itafaa... help plz
 
Mkuu hapana aisee siwezi ku-root simu yangu kiongozi inaweza ikaleta tatizo ambalo likafanya hata nijute kwa nini nimei-root eti kisa fonts tu.

Ku-root aisee hapana mkuu kama hakuna njia nyingine ni bora tu nikaa na hii font iliyopo tu kiongozi...!.

Shukran.
Nimecheka sana aisee
 
Eb tusaidiane asee wakuu hata mm nna shda kama hyo ila nahofia simu yang icje kuleta tatzo...kama kuna app mtu anaijua aweke apa "unachokpenda mpendelee na nduguyo"
 
Back
Top Bottom