Foleni za Dar ni janga

ibanezafrica

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,261
6,543
Pamoja na jitihada zinazofanywa na serikali kujitahidi kupunguza adha ya foleni jijini,nichukue nafasi hii kuipongeza serikali kwa juhudi zote lakini pia nishauri hatua zaidi zichukuliwe.

Foleni za Dar zinasababisha upotevu mkubwa wa muda na pia nishati nyingi inapotea kwa magari ku kwama barabarani kwa masaa mengi.

Huwa inanichukua takriban 3 hrs+ kusafiri toka mbagala hadi bunju! Kwa usafiri wa umma Na hunichukua 3 hrs toka magomeni hadi morogoro msamvu kwa private car.

Ukitathmini muda wa safari hizo uliotumika utagundua kweli kua pana shida kubwa jijini Dar na muda mwingi mtu anapoamua kutoka point A kwenda point B kitu ambacho ni hatari.

Ushauri;

~ Njia nyingi zitanuliwe.
~ Njia ya Tabata hadi segerea
Airport terminal 2 hadi gongo la mboto.
~ Tegeta kibaoni hadi bunju b darajani.
~ Mbagala kokoto hadi kisemvule.
~ Mtaa wa uhuru mnazi hadi buguruni.
~ Kutoka mataa ya morocco kupitia tmj mikocheni, mbezi ya chini kwa zena hadi africana mataa.

Flyover ya Tazara iongezewe njia nyingine juu kwa gari zitokazo bandari kuelekea ubungo.

Mwenge,Morocco pawekwe flyovers,pia buguruni chama/shell patafutiwe suluhishi japo pawekwe round about.

Tanroads wafanye tafiti za kuja na barabara za chini ya ardhi(subway) kwani tunakoelekea hali ya sasa itazidi mara dufu pasipo kubuni mikakati mikubwa.

Nawasilisha.
 
Pamoja na jitihada zinazofanywa na serikali kujitahidi kupunguza adha ya foleni jijini,nichukue nafasi hii kuipongeza serikali kwa juhudi zote lakini pia nishauri hatua zaidi zichukuliwe..

Foleni za Dar zinasababisha upotevu mkubwa wa muda na pia nishati nyingi inapotea kwa magari ku kwama barabarani kwa masaa mengi..

Huwa inanichukua takriban 3 hrs+ kusafiri toka mbagala hadi bunju! Kwa usafiri wa umma Na hunichukua 3 hrs toka magomeni hadi morogoro msamvu kwa private car....

Ukitathmini muda wa safari hizo uliotumika utagundua kweli kua pana shida kubwa jijini Dar na muda mwingi mtu anapoamua kutoka point A kwenda point B kitu ambacho ni hatari

Ushauri;

Njia nyingi zitanuliwe
Njia ya Tabata hadi segerea
Airport terminal 2 hadi gongo la mboto
Tegeta kibaoni hadi bunju b darajani
Mbagala kokoto hadi kisemvule
Mtaa wa uhuru mnazi hadi buguruni
Kutoka mataa ya morocco kupitia tmj mikocheni,mbezi ya chini kwa zena hadi africana mataa

Flyover ya Tazara iongezewe njia nyingine juu kwa gari zitokazo bandari kuelekea ubungo

Mwenge,Morocco pawekwe flyovers,pia buguruni chama/shell patafutiwe suluhishi japo pawekwe round about.

Tanroads wafanye tafiti za kuja na barabara za chini ya ardhi(subway) kwani tunakoelekea hali ya sasa itazidi mara dufu pasipo kubuni mikakati mikubwa.

Nawasilisha.
Hatutaki maendeleo ya vitu; tunataka maendeleo ya watu, yaani watu wawe na fedha nyingi mfukoni!
 
Wafanye kama Kimara-Kibaha, sasa hivi ni kujiachia tu njia hii, pale mbezi mwisho pamekaa vizuri sasa.

Nimecheka hapo kwenye subway, bado sana sisi kufikia huko, kuwe na trams, trains za jiji, feeder roads za kutosha na njia zitanuliwe. Subway achana nazo zitatuua, hatuna umakinj, hizo mwendokasi tu zinatushinda.
 
Wafanye kama Kimara-Kibaha, sasa hivi ni kujiachia tu njia hii, pale mbezi mwisho pamekaa vizuri sasa.

Nimecheka hapo kwenye subway, bado sana sisi kufikia huko, kuwe na trams, trains za jiji, feeder roads za kutosha na njia zitanuliwe. Subway achana nazo zitatuua, hatuna umakinj, hizo mwendokasi tu zinatushinda.
Sema Ile stend ya magufuli ibomolewe ndoinaleta jam
 
Kwa Tanzania nitamlaumu Nyerere na serikali ya Awamu za CCM
Walipopokea nchi hawakuwekeza katika upangaji wa miji

Hawakupaswa kuwa na huruma na wavamizi wa hifadhi za barabara.


Leo hii mtu anajenga anavyotaka yeye bila kufuata mipango miji.

Serikali ilipaswa vunja hizo nyumba iwe fundisho, badala yake imewapa hati.
 
Hizi harakati za ujenzi wa miundo mbinu aliziweza Jpm..sa100 yeye ni mtaalamu wa 4R.
 
Japan wamekuja na mpango wa kugawa fedha ili watu waondoke Tokyo na kwenda kuendeleza miji mingine ili kupunguza msongamano,Population ya Tokyo ni milioni 37+

Traffic jam ni janga la miji yote mikubwa Duniani,Mji kama Dar ni vizuri kuimprove public transport hasa Treni ili kupunguza msongamano wa magari na kuimprove Air quality.
 
Pamoja na jitihada zinazofanywa na serikali kujitahidi kupunguza adha ya foleni jijini,nichukue nafasi hii kuipongeza serikali kwa juhudi zote lakini pia nishauri hatua zaidi zichukuliwe.

Foleni za Dar zinasababisha upotevu mkubwa wa muda na pia nishati nyingi inapotea kwa magari ku kwama barabarani kwa masaa mengi.

Huwa inanichukua takriban 3 hrs+ kusafiri toka mbagala hadi bunju! Kwa usafiri wa umma Na hunichukua 3 hrs toka magomeni hadi morogoro msamvu kwa private car.

Ukitathmini muda wa safari hizo uliotumika utagundua kweli kua pana shida kubwa jijini Dar na muda mwingi mtu anapoamua kutoka point A kwenda point B kitu ambacho ni hatari.

Ushauri;

~ Njia nyingi zitanuliwe.
~ Njia ya Tabata hadi segerea
Airport terminal 2 hadi gongo la mboto.
~ Tegeta kibaoni hadi bunju b darajani.
~ Mbagala kokoto hadi kisemvule.
~ Mtaa wa uhuru mnazi hadi buguruni.
~ Kutoka mataa ya morocco kupitia tmj mikocheni, mbezi ya chini kwa zena hadi africana mataa.

Flyover ya Tazara iongezewe njia nyingine juu kwa gari zitokazo bandari kuelekea ubungo.

Mwenge,Morocco pawekwe flyovers,pia buguruni chama/shell patafutiwe suluhishi japo pawekwe round about.

Tanroads wafanye tafiti za kuja na barabara za chini ya ardhi(subway) kwani tunakoelekea hali ya sasa itazidi mara dufu pasipo kubuni mikakati mikubwa.

Nawasilisha.
Hii ya Tazara ndio sijawaelewa mana TAZARA ilibd pawe na kitu kama Ubungo sasa sijui ilikuaje wakaeka upuz pale
 
Mtoa mada mbona umesahau barabara yetu ya mbagala rangi 3 Hadi mmbande? Hii barabara inahitaji maboresho makubwa ya utanuzi pia baada miezi kadhaa mbele mwendokasi itaanza najua Ile foleni ya kariakoo - mbagala utahamia huku kwetu
 
Wameindoa foleni ubungo wameipeleka kimara mwisho.

Wameitoa mbezi wameipeleka kimara mwisho.

Pale kimara mwisho panahitaji suluhisho la foleni iwe ni daraja au upanuzi wa barabara
 
Back
Top Bottom