Foleni Kwenye Mabenki

Kuna mwanamziki mmoja hapo Bongo alitoa kibao kinaitwa WATU KIBAO..

huo wimbo ni mzuri sana ukisikiliza maneno yake, na utagundua kuwa japo tunawasema Benki kwa sasa lakini bongo kila utakapoenda ni foleni tu kwa sababu ya Watu kibao

Hospital - WATU KIBAO
TANESCO - WATU KIBAO
POLICE - WATU KIBAO
BARABARANI-WATU KIBAO
MPAKA MOCHWALI - WATU KIBAO
....
....

sio watu kibao, huduma mbovu. Wewe nchi kama England population yake ni around 51mil na ni ndogo sana kwa size ukilinganisha na TZ, lakini huduma zake babu kubwa. Hapa hujazingatia percentage ya watu wanaotumia ma-bank.
 
Ni kweli tatizo hapa ni mfumo mbaya wa mabeki na mabenki mengi kuwa manual. Lakini pia ukweli ni kwamba bado Banking sector ipo underserved. Nilishawahi kufanya research kuhusu banking sector ya Tanzania, nikagundua kwamba kati ya Watanzania milioni 40 ni Watanzania Milioni sita tu ndio wenye bank accounts yaani ni 1.3% of the population ya Wantanzania ndio wenye account bank. Kweli hii inasikitisha.

Kikubwa ni kwamba mabenki mengi yamejikita mijini tu na bado hawana technologia ya kisasa katika utendaji kazi wao pamoja na kwamba mabenk mengi hupata supper normal profit.

Nilichogundua kwa sasa ni kwamba mabenk mengi yapo kwenye strategy ya quantitative expansion (yaani kuongeza matawi) regardless of the qualitative strategy ndio maana bado kuna foleni kubwa sana huko kwenye mabenki.
 
Mimi nilishajiamulia kudeal na mabranch managers kuondokana na kero kama izo.
Though normally huwa nawapa feedback wahusika sometimes huwa wanajirekebisha.
Tatizo la watz ni wataalamu wa kulalamika ukimuuliza ushawai report utasikia sina muda.
Kwa watu wa masoko feedback ya mteja ni muhimu.Personally kwa uku mikoani nshawi report CRDB WAKALIFANYIA KAZI INGAWA NMB WALITAKE TIME NKAHAMA NA BANK YUEL MANAGER MPAKA LEO ANANISUMBUA NILUDISHE ACCOUNT NTAPATA PREFERENCIAL TREATMENT.
FEEDBACK NI MUHIMU JAMANI KWA WAHUSIKA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom