residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,531
- 13,458
Tuna mipango mizuri sana kwenye makabati, lakini CCM kwa kupenda ufisadi, hawawezi kukubali kumaliza tatizo, maana watakosa pa kupigia kodi zetu.Swala la bara bara kwa Daslm limetushinda sana sioni kama tatizo litatuliwa karibuni na nilitegemea mikoa inayokua kwa kasi pia wangeweka kipaumbele ni kuwa na bara bara za kutosha na kubwa wao bado wapo kwenye ukarabati tu sioni wakiwaza nje ya hapo..