Foleni kali sana Ubungo - Kimara

Foleni kali sana Ubungo - Kimara

Yaani tunalazimishwa kuamka alfajiri sana na kuondoka mjini mapema jioni sana hata saa 8 hivi
Kweli kabisa halafu weekend unajikuta unamaliza muda mwingi kupumzika badala ya kuiangalia miradi yako
 
Aisee, hii kamba ya leo tarehe 13.08.2025 ni ndefu sio kitoto. Yaani kutoka Ubungo mpaka Kimara umbali wa kilometa 5 tunatumia masaa 2:30. Tatizo nini, ni ujenzi wa barabara au kuna ajali?

Aisee, hii kamba ya leo tarehe 13.08.2025 ni ndefu sio kitoto. Yaani kutoka Ubungo mpaka Kimara umbali wa kilometa 5 tunatumia masaa 2:30. Tatizo nini, ni ujenzi wa barabara au kuna ajali? @Tanroads
Kimara mpaka Ubungo ni kama Jehanamu, TANROADS wajitafakari
 
Leo nimejichanganya nimepita mwendokasi na tuktuk langu wazee wamenidaka ikabidi niache pesa
 
Swala la bara bara kwa Daslm limetushinda sana sioni kama tatizo litatuliwa karibuni na nilitegemea mikoa inayokua kwa kasi pia wangeweka kipaumbele ni kuwa na bara bara za kutosha na kubwa wao bado wapo kwenye ukarabati tu sioni wakiwaza nje ya hapo..
Mkuu mimi nadhani halirekebishiki tena kabisa au litahitaji gahrama kubwa mno. Siku nyingi tulishapendekeza. Sehemu ilipo Bagamoyo kwenda mbele lijengwe jiji jipya kwa mpangilio. Tuwe na Dar mpya na ya zamani na iunganishwe kwa treni...
 
Aisee, hii kamba ya leo tarehe 13.08.2025 ni ndefu sio kitoto. Yaani kutoka Ubungo mpaka Kimara umbali wa kilometa 5 tunatumia masaa 2:30. Tatizo nini, ni ujenzi wa barabara au kuna ajali? @Tanroads
Hio morogoro road wameikosea kitambo sana toka hapo kwenye junction hadi mbezi zile junction hawakuziweka vizuri na barabara ni nyembamba sana pamoja na kuongeza njia za mwendo kasi. Hio foleni itaendelea na itakuwepo sana kwa muda mrefu I'm afraid. Sometimes uwa naona kama hamna wasomi bongo kwasababu ya vitu kama hivi.
 
Sasa leo ndio kulala njiani kabisa maana toka uhasibu uwanja wa Taifa ni foleni tu. Bajaji zimepandisha bei elfu 3 kutoka uhasibu mpaka ubungo, ikiwa kawaida ni elfu2
 
Sasa leo ndio kulala njiani kabisa maana toka uhasibu uwanja wa Taifa ni foleni tu. Bajaji zimepandisha bei elfu 3 kutoka uhasibu mpaka ubungo, ikiwa kawaida ni elfu2
Kufa kufaana - wameacha tuunae sisi kwa sisi
 
Hio morogoro road wameikosea kitambo sana toka hapo kwenye junction hadi mbezi zile junction hawakuziweka vizuri na barabara ni nyembamba sana pamoja na kuongeza njia za mwendo kasi. Hio foleni itaendelea na itakuwepo sana kwa muda mrefu I'm afraid. Sometimes uwa naona kama hamna wasomi bongo kwasababu ya vitu kama hivi.
Ni kwa nini barabara za mwendokasi kuanzia Kimara mpaka Kibaha hazifanyi kazi? Zinaota nyasi tu
 
Aisee, hii kamba ya leo tarehe 13.08.2025 ni ndefu sio kitoto. Yaani kutoka Ubungo mpaka Kimara umbali wa kilometa 5 tunatumia masaa 2:30. Tatizo nini, ni ujenzi wa barabara au kuna ajali? @Tanroads
Majibu uliyopata mbona hujaleta mrejesho jukwaani?
 
Jana kulikuwa na folen ukitokea mbez ilianzia stopover mpaka ubungo ukitokea ubungo ilikuwepo mpaka suka.
 
Planning mbovu. Yaani ka mji kama haka kila sehemu ni foleni.
Mwaka 2001 kulikuwa na mzee mmoja pale IRDP - Mipango, aliishauri serikali kuhusu kuondoa foleni kwenye miji mikubwa kwa miaka 30 - 50 (kuanzia 2001), lakini hawakutaka kuimpliment, badala yake huo mpango ndio umekuwa implimented na WB kwa nchi 14 na ambao leo unaitwa DMDP.
 
muda muafaka wa wakazi wa dar kuzipa chapuo baiskeli
 
Back
Top Bottom