Foleni kali sana Ubungo - Kimara

Foleni kali sana Ubungo - Kimara

CCM IMESHIDWA BIG TIME.
KIMARA HAKUNA MWENDO KASI, KUNA FOLENI YA KUFA MTU.
MKUU WA MKOA YUPO,
MKUU WA WILAYA YUPO,
TANROADS WAPO
TARURA WAPO.
WAZIRI YUPO USINGIZINI ANAOTA UCHAGUZI TU , TENA KWA KUIBA KURA
 
CCM IMESHIDWA BIG TIME.
KIMARA HAKUNA MWENDO KASI, KUNA FOLENI YA KUFA MTU.
MKUU WA MKOA YUPO,
MKUU WA WILAYA YUPO,
TANROADS WAPO
TARURA WAPO.
WAZIRI YUPO USINGIZINI ANAOTA UCHAGUZI TU , TENA KWA KUIBA KURA
Hivi kuna kitu gani hawa CCM walishafanya kwa UFANISI ukiacha wizi na uchafuzi wa Mfumo wa Uchaguzi??
 
Aisee hii foleni ni kali sana wakuu magari hayaendi
Tatizo kubwa ni kuwa watanzania karibu wote tumeshazoea shida na maisha duni kiasi cha kuona jambo kama hili kuwa ndiyo maisha yalivyo duniani kote. Watu wala hawashangai tena. Nakumbuka mika ya nyuma hawa watawala wetu walioshindwa kila kitu kuna mmoja alidiriki kusema kuwa hizo foleni ni baraka ya maendeleo etu uchumi umekuwa na watu wamenunua magari. Ukishakuwa na mindset za aina hii tegemea majanga zaidi. Tungekuwa tunafanya reseach ni maisha ya watu wangapi yanapotea kwa sababu ya hizi foleni na uchumi unadidimia kiasi gani tungepata figure za kutisha.
 
Na huo ujenzi hapo Kimara hauishi. Kila siku ndo kwanza wanachimba mashimo. Hopulesi kabisa.

Mwendokasi nadhani lilikuwa wazo zuri japo sikuelewa ni kwa nini tusingeanzisha njia za treni badala ya mabasi. Kila dakika 5 au 10 treni yenye mabehewa 10 hivi inapita na kuzoa kila abiria. Inafika mahali watu hawaoni hata sababu ya kuendesha magari kwenda katikati ya mji.

Lakini kwa vile hakuna tunachoweza kufanya kwa ufanisi hata hizo commuter trains si ajabu tungezitelekeza na kuziharibu kama tulivyofanya kwenye mwendokasi. It is very sad that we can't do shit!
 
Inafika mahali watu hawaoni hata sababu ya kuendesha magari kwenda katikati ya mji.
Ila kila ukifikiria namna utavuopata tsbu kupata usafiri wa kurudi home jioni, unaona bora tu uende na gari mjini.

Mwendokasi ingekuwa poa kweli tungekuwa hatuendi mjini na magari yetu maana ni gharama sana, ila sasa ndio vile, Mwendokasi ni takataka, imefeli.
 
Tatizo kubwa ni kuwa watanzania karibu wote tumeshazoea shida na maisha duni kiasi cha kuona jambo kama hili kuwa ndiyo maisha yalivyo duniani kote. Watu wala hawashangai tena. Nakumbuka mika ya nyuma hawa watawala wetu walioshindwa kila kitu kuna mmoja alidiriki kusema kuwa hizo foleni ni baraka ya maendeleo etu uchumi umekuwa na watu wamenunua magari. Ukishakuwa na mindset za aina hii tegemea majanga zaidi. Tungekuwa tunafanya reseach ni maisha ya watu wangapi yanapotea kwa sababu ya hizi foleni na uchumi unadidimia kiasi gani tungepata figure za kutisha.
Ni yule muhuni ndio alisema hivyo
 
Swala la bara bara kwa Daslm limetushinda sana sioni kama tatizo litatuliwa karibuni na nilitegemea mikoa inayokua kwa kasi pia wangeweka kipaumbele ni kuwa na bara bara za kutosha na kubwa wao bado wapo kwenye ukarabati tu sioni wakiwaza nje ya hapo..
 
Hiko kipande cha ubungo kimara mwisho kimetengenezwa kijinga sana, hiyo Barabara ni nyembamba halafu imewekewa kingo za tofari, ikitokea breakdowns ya Lori kidogo tu tayari majanga.

Hivi kwa jamii ya watu wanaojielewa Ile kweli ndio main highway yakutoa magari yote kwenda nje ya nchi ya mikoani?

ndani ya mitaa ya Kabul Afghanistan.
 
Back
Top Bottom