Naomba no za mfanyakazi wa kike wa hilo tawi lenu.Karibuni FNB bank kwa wanaohitaji kufungua bank account tuna salary account, savings account, fixed na flexi fixed account. Na tuna hii account inaitwa Goldcheque account ni especially kwa waajiriwa na wafanya biashara wanaotaka mikopo binafsi na mikopo ya nyumba hii inawafaa. Karibuni. Nimeambanisha attachments.![]()
![]()
Hahahaaaa!Hahahaha hapa ndo walimu mnaponiachaga hoi
Wanafunga matawi Dar limebaki la Ohio na Oysterbay yaan mtu atoke Tegeta kwenda Obay kufuata 20,000/=??FNB siyo reliable
Wanafunga kwasababu gani? Hakuna wateja?Wanafunga matawi Dar limebaki la Ohio na Oysterbay yaan mtu atoke Tegeta kwenda Obay kufuata 20,000/=??