Flyover inayofaa Ubungo ni hii hapa

Flyover inayofaa Ubungo ni hii hapa

Kuepusha gharama kubwab za fidia wenzetu huamua kujenga mji mpya hivyo utakuta old na new town. CBD ya Dar haiwezi kuboreshwa bila kubomoa baadhi ya ujenzi ili ku-improve traffic circulation, Kwahiyo ma-flyover Ubungo na TZR huenda yaka-solve peripheral traffic flow snags snags na kuacha CBD congestions palepale. Ila majuzi nilisikia Wajapani wanakuja kusaidia kuhusu barabara za Dar. Inatia moyo.
Mfano
Lagos and Abuja

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Kuepusha gharama kubwab za fidia wenzetu huamua kujenga mji mpya hivyo utakuta old na new town. CBD ya Dar haiwezi kuboreshwa bila kubomoa baadhi ya ujenzi ili ku-improve traffic circulation, Kwahiyo ma-flyover Ubungo na TZR huenda yaka-solve peripheral traffic flow snags snags na kuacha CBD congestions palepale. Ila majuzi nilisikia Wajapani wanakuja kusaidia kuhusu barabara za Dar. Inatia moyo.
Kuna mpango wa mji wa kisasa wa kigamboni sijui uliishia wapi !!! Nadhani ulisemekana unafadhiliwa na George Bush !!!
 
Kwanza nimpongeze Rais John joseph pombe Magufuli, kwa kujenga mirad mikubwa hasa ya barabara za juu, .Wapinzani jifunzeni kupongeza mazuri sio kila kitu kupinga tu.

Leo nimepita Tazara nimeona barabara za juu zipo kwenye finishing, Zinapendeza,

Kwa Ubungo ilitoka Ramani mara ya kwanza ,lakini tuliarifiwa imebadilishwa ,

Mimi kama mpenda maendeleo ,naomba Mwenye ramani au mchoro wa simulation Mpya wa barabara za juu za UBUNGO atupe tuone jinsi nchi yetu itakavyopendeza,

Nimekuwa nikisikia hizi barabara za juu za ubungo zitakuwa ni zaidi ya zile za TAZARA, hiz zitakuwa na ghorofa mbili au tatu.

Mungu mbariki Raisi John joseph pombe Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa, nipo mbali kidogo, ngoja waje wajuvi huenda wanayo

Sent using Jamii Forums mobile app
1.jpg
 
INTET SECTION ndo barabara ya juu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli watanzania Kwa kupenda misifaa kwakuwa tumezaliwa kwenye nyumba za tembee tunadhani na nchi zingine wamezaliwa kwenye tembee tangu lini intet section ikawa barabara au flow over ikawa barabara za juu?mbona miji mingi Kenya zipo hata hawajitambi wanaona bado hakuna maendeleo,ni wajibu Wa serikali kufanya hayo tuache Sifa za wajibu
 
Ungekuwa unashirikisha ubongo ungejua hii miradi ni ya mzee wa msolwa kwa vile mahaba yamekuteka mpongeze jiwe
 
Kwanza nimpongeze Rais John joseph pombe Magufuli, kwa kujenga mirad mikubwa hasa ya barabara za juu, .Wapinzani jifunzeni kupongeza mazuri sio kila kitu kupinga tu.

Leo nimepita Tazara nimeona barabara za juu zipo kwenye finishing, Zinapendeza,

Kwa Ubungo ilitoka Ramani mara ya kwanza ,lakini tuliarifiwa imebadilishwa ,

Mimi kama mpenda maendeleo ,naomba Mwenye ramani au mchoro wa simulation Mpya wa barabara za juu za UBUNGO atupe tuone jinsi nchi yetu itakavyopendeza,

Nimekuwa nikisikia hizi barabara za juu za ubungo zitakuwa ni zaidi ya zile za TAZARA, hiz zitakuwa na ghorofa mbili au tatu.

Mungu mbariki Raisi John joseph pombe Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa tutaanza KUPONGEZA mazuri anayofanya Rais kama sehemu ya WAJIBU wake. Vipi nyie msiokuwa wapinzani kuna ambayo mnakosoa pale ambapo wajibu hautekelezwi ipasavyo au nikusifu tu kila jambo? Tunaomba tujifunze kutoka kwako ni yapi UMESIFIA na ni yapi UMEPINGA/ UMEKOSOA.
 
Sawa tutaanza KUPONGEZA mazuri anayofanya Rais kama sehemu ya WAJIBU wake. Vipi nyie msiokuwa wapinzani kuna ambayo mnakosoa pale ambapo wajibu hautekelezwi ipasavyo au nikusifu tu kila jambo? Tunaomba tujifunze kutoka kwako ni yapi UMESIFIA na ni yapi UMEPINGA/ UMEKOSOA.
Kwanza mm sio ccm, mm ni mwananchi huru ,ccm nawapinga na nawapongeza, vile vile upinzani,



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom