kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,342
- 12,065
MsogaUngekuwa unashirikisha ubongo ungejua hii miradi ni ya mzee wa msolwa kwa vile mahaba yamekuteka mpongeze jiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
MsogaUngekuwa unashirikisha ubongo ungejua hii miradi ni ya mzee wa msolwa kwa vile mahaba yamekuteka mpongeze jiwe
Duh. Tembea uone. Haya kwao yapo siku nyingi. Unaifahamu thika high way?Pombe akijenga hii wakenya watahamia Tanzania kumuunga mkono.
Kama Dar hakuna nafasi ya kutosha kujenga fly-over za kisasa kama hii basi tutaijenga pale Msamvu-Morogoro au Dodoma, au Mwanza huko bado kuna nafasi tele na hata kama itahitajika kubomoa baadhi ya majengo, fidia siyo kubwa sana kama dar!Magari yanayotoka mjini kuelekea Kimara yatapita chini (mshale wa zambarau )na magari yanayotoka kimara kuelekea ubungo na mjini ya tapita chini(mshale wa njano)
![]()
Kama Dar hakuna nafasi ya kutosha kujenga fly-over za kisasa kama hii basi tutaijenga pale Msamvu-Morogoro au Dodoma, au Mwanza huko bado kuna nafasi tele na hata kama itahitajika kubomoa baadhi ya majengo, fidia siyo kubwa sana kama dar!
Kwanza nafasi ya kuweza kuimplement hii ramani hamna Ubungo, pia issue ya Ubungo Bus terminal ni ya muda tuu, soon itaamia Mbezi mwisho so kero yake itaishaKWA MAONI YANGU NADHANI MCHORO HUU UNAFAA UKIJENGWA PALE UBUNGO MATAA , KUMEKUWA NA MICHORO MINGI ISIO ENDANA NA UFINYU WA NAFASI YA PALE UBUNGO NA NI YA GARAMA KUBWA LAKINI HUU KIDOGO UNABANA NAFASI NA NI RAHISI MTU UPANDE WOWOTE KUINGIA NA KUTOKA . NAFIKIRI WENGI WETU MNA JUA ADHA YA KUINGIA UBUNGO TERMINAL UKIWA UMETOKEA MJINI LAKINI KUNGEKUWA NA FLYOVER YA NAMNA HII TUSINGEPATA ADHA YA KUINGIA STAND KUU NA KUELEKEA MJINI,MWENGE NA BUGURUNI NA KIMARA.
ASANTENI.
ANGALIZO .
MSIINGIZE SIASA HILI NI WAZO BINAFSI.
View attachment 842968