- Thread starter
- #41
Sijui ile satelite city ya kigamboni iliishia wapi?satellite city sijaelewa...tunajenga mji angani....hahaaaa natania tu mkuu
Sijui ile satelite city ya kigamboni iliishia wapi?satellite city sijaelewa...tunajenga mji angani....hahaaaa natania tu mkuu
KWA MAONI YANGU NADHANI MCHORO HUU UNAFAA UKIJENGWA PALE UBUNGO MATAA , KUMEKUWA NA MICHORO MINGI ISIO ENDANA NA UFINYU WA NAFASI YA PALE UBUNGO NA NI YA GARAMA KUBWA LAKINI HUU KIDOGO UNABANA NAFASI NA NI RAHISI MTU UPANDE WOWOTE KUINGIA NA KUTOKA . NAFIKIRI WENGI WETU MNA JUA ADHA YA KUINGIA UBUNGO TERMINAL UKIWA UMETOKEA MJINI LAKINI KUNGEKUWA NA FLYOVER YA NAMNA HII TUSINGEPATA ADHA YA KUINGIA STAND KUU NA KUELEKEA MJINI,MWENGE NA BUGURUNI NA KIMARA.
ASANTENI.
ANGALIZO .
MSIINGIZE SIASA HILI NI WAZO BINAFSI.
![]()
Unaweza kufit ila Songas na Tanesco itabidi wabomoe kidogo na upande wa petrol station pia ,upande wa Maji kule nafasi ipo .Huo upana number 2 ukikadiria ni kama meter ngapi hivi?. Sidhani kama utaweza ku-fit pale Ubungo. Hata huo upana number 1 (horizontal) hauwezi.View attachment 446260
Vituo havivunjwi ila mwendo kasi atapita chini kutakuwa na lane zake kama kawaida tena itamsaidia sana maana pale huwa anasimama kwa muda mrefu muda wa asubuhi kuruhusu mabus ya ubungo yaondoke mapema maana huwa yanatumia njia ya mwendokasi .Vile vituo vya mwendokasi itabidi tuvivunje na tumevijenga juzi tu![]()
Hahaha umeona eee alafu kuna wakuu kule skycrapercity wameisifia nilishanga sana.Huyu Engineer ina faa afukuzwe kazi!!
Utawekaje Fly over kama tuta la viazi!
Haipambi mji! Wala siyo kivutio!!
Imenyooka tu!! UDSM Product au?
tatizo maeneo mengi ya wakubwa alafu dar yenyewe imejaa kila sehemu sasa wakihamisha wizara kuna garama za kununua viwanja na kujenga hayo maofisi ya gorofa.ingekuwa vyema zaidi kama tungefanya divergence za shughuli zingine miji mingine mfano tu wa delhi na new delhi maana sasa hv kila shughuli ili ikamilike ni lazma twende posta almost
Mkuu Tanzania kuna vipawa vya ajabu sana ambavyo tunaweza kuvitumia vizuri kutusogeza mbele lakini bahati mbaya sana mentality mbovu ya kuamini sana wageni ndio inatugharimu pamoja na kuendeza sana mambo ya 10%hivi vitu ni rahisi na vinawezekana na vingeshafanyika miaka mingi tu nyuma,,shida asilimia kumi.. rusha na ubinafsi...kadri tunavokwenda ardhi inapanda na watu wanaongezeka...kama ubungo kwa sasa hapawezekani mpaka fidia itembee sana unles mchoro ubadilishwe ambao utakua gari zaidi
Mtaalamu kwenye kuchanganya zege au nini mkuu? Au hiyo kitu inahusisha zaidi kemia!!Mi nadhani kwa sababu rais ni mtaalamu wa haya mambo atajenga tu ila lazima aanze na pale salenda kuelekea coco beach
Hapana mkuu nimedownload picha kwenye internet alafu nika ingia play store kudownload app ya ku edit .mkuu umedisign au umeprovide?
Mkuu wataku tundu Lisu hawa jamaa saiz hawataki utaniMtaalamu kwenye kuchanganya zege au nini mkuu? Au hiyo kitu inahusisha zaidi kemia!!
Mwendo kasi yanapita wapi?KWA MAONI YANGU NADHANI MCHORO HUU UNAFAA UKIJENGWA PALE UBUNGO MATAA , KUMEKUWA NA MICHORO MINGI ISIO ENDANA NA UFINYU WA NAFASI YA PALE UBUNGO NA NI YA GARAMA KUBWA LAKINI HUU KIDOGO UNABANA NAFASI NA NI RAHISI MTU UPANDE WOWOTE KUINGIA NA KUTOKA . NAFIKIRI WENGI WETU MNA JUA ADHA YA KUINGIA UBUNGO TERMINAL UKIWA UMETOKEA MJINI LAKINI KUNGEKUWA NA FLYOVER YA NAMNA HII TUSINGEPATA ADHA YA KUINGIA STAND KUU NA KUELEKEA MJINI,MWENGE NA BUGURUNI NA KIMARA.
ASANTENI.
ANGALIZO .
MSIINGIZE SIASA HILI NI WAZO BINAFSI.
![]()
Yatapita barabara ya chini inakuwa na lane yake kama kawaidaMwendo kasi yanapita wapi?
Sina lengo la kufitinisha wala kudalalia mkuuMkuu wataku tundu Lisu hawa jamaa saiz hawataki utani